bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 4
Job 4
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 5 →
1
Kisha Elifasi wa inchi ya Temani akamujibu Yobu:
2
Mutu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani anayeweza kujizuia kusema?
3
Sikiliza! Wewe umewafundisha wengi, na kuiimarisha mikono ya wazaifu.
4
Maneno yako yamewainua moyo, umewaimarisha waliokosa nguvu.
5
Lakini sasa shida imekupata nawe unaregea. Imekugusa, nawe unafazaika.
6
Kumwogopa Mungu si ndilo tegemeo lako? Na ukamilifu wa mwenendo wako si ndilo tumaini lako?
7
Fikiri sasa: nani asiyekuwa na kosa ambaye amepata kuangamia? Au, watu wa usawa wamepata kutupiliwa?
8
Mimi nimeona kwamba wanaopanda uovu na ubaya wanavuna yaleyale.
9
Mungu anawaangamiza kwa pumzi yake; wanateketezwa kwa kuvuma kwa hasira yake.
10
Waovu wananguruma kama simba mukali, lakini meno yao inavunjwa.
11
Simba mwenye nguvu anakufa kwa kukosa chakula, na watoto wa simba dike wanatawanywa!
12
Siku moja, niliambiwa neno kwa siri, sikio langu lilisikia manongonezo yake.
13
Ilikuwa usiku wakati watu wanapoota ndoto, wakati usingizi muzito unawashika watu.
14
Nikashikwa na hofu na kutetemeka; mifupa yangu yote ikagonganagongana.
15
Upepo ukapita mbele ya uso wangu, nywele za mwili wangu zikasimama.
16
Kitu kimoja kikasimama mbele yangu. Nilipokiangalia sikukitambua kabisa. Kulikuwa umbo moja mbele yangu. Kulikuwa kimya, kisha nikasikia sauti:
17
“Mwanadamu anaweza kuwa mwenye haki mbele ya Mungu? Mutu anaweza kuwa safi mbele ya Muumba wake?
18
Mungu hawaaminie hata watumishi wake, na wamalaika wake anawaona wana kosa.
19
Zaidi sana wanadamu, viumbe vya udongo, watu ambao musingi wao ni mavumbi, ambao wanaweza kupondwapondwa kama chawa!
20
Wanadamu wanaangamia kwa saa chache tu; wanaangamia milele bila kuacha hata alama.
21
Kama uzi unaoshikilia uzima wao ukikatwa, wao wanakufa, tena bila kuwa na hekima”.
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 5 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42