bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 7
Job 7
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 6
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 8 →
1
Mwanadamu ana magumu katika dunia, na siku zake ni kama siku za mutumishi wa mushahara!
2
Yeye ni kama mutumwa anayetamani kivuli, kama mutumishi anayengoja kwa hamu mushahara wake.
3
Basi nimepangiwa miezi na miezi ya taabu, urizi wangu ni kuteseka usiku kwa usiku.
4
Ninapolala ninasema: “Nitaamuka wakati gani?” Maana saa za usiku ni ndefu sana; ninagaagaa katika kitanda mpaka mapambazuko!
5
Mwili wangu umejaa vidudu na uchafu; ngozi yangu imekauka na kutokwa na usaha wa jipu.
6
Siku zangu zinapita mbio kuliko gurudumu la mushonaji, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.
7
Kumbuka, maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona jambo zuri lolote tena.
8
Anayeniona sasa, hataniona tena, mara tu ukiniangalia nitakuwa nimetoweka.
9
Kama vile wingu linavyofifia na kutoweka, ndivyo nao watu wanavyoshukia kuzimu bila kurudi.
10
Anayeondoka harudi tena kwa jamaa yake, na pale alipokuwa anaishi, wanamusahau mara moja.
11
Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kusema. Nitasema kwa kusongwa kwa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.
12
Mimi ni bahari au nyama mukubwa wa bahari hata upate kuniwekea mulinzi?
13
Nikisema “Kitanda kitanipumzisha, matandiko yangu yatanipunguzia malalamiko yangu”,
14
wewe unakuja kunitia hofu kwa ndoto, unanitisha kwa kuniletea maono,
15
hata ninaona afazali kutundikwa, ninaona heri kufa kuliko kupata mateso haya.
16
Ninayachukia maisha yangu. Sitaishi milele. Muniache, maana siku zangu ni pumzi tu!
17
Mwanadamu ni nini hata umujali? Kwa nini unajishugulisha naye
18
na kuja kumuchunguza kila asubui, na kumupima kila wakati?
19
Utaendelea kuniangalia mpaka wakati gani, bila kuniacha hata nimeze mate?
20
Kama nikitenda zambi, inakuuzi nini, ewe muchungaji wa wanadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Kwa nini nimekuwa muzigo kwako?
21
Mbona haunisamehe kosa langu na kuniondolea uovu wangu? Hivi kisha muda kidogo nitalazwa chini katika mavumbi. Utanitafuta, lakini sitakuwa tena!
← Chapter 6
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 8 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42