Psalms 52:10 — Compare Translations
2 translations compared side by side
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mimi nafanana na mchekele wenye majani mengi kwa kukaa Nyumbani mwake Mungu, kwani upole wa Mungu ndio, niliouegemea pasipo kukoma kale na kale.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mimi ni kama muzeituni mubichi, unaostawi katika nyumba ya Mungu. Ninategemea wema wake milele na milele.