Hosea 14:10
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeyote aliye na hekima ayaelewe mambo haya, mtu aliye na busara ayatambue. Maana njia za Mwenyezi-Mungu ni nyofu; watu wanyofu huzifuata, lakini wakosefu hujikwaa humo.”
Compare Hosea 14:10 across all translations →