bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
/
Job 18
Job 18
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
← Chapter 17
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 19 →
1
Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,
2
Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.
3
Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?
4
Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?
5
Naam, mwanga wa waovu utazimika, Wala muali wa moto wake hautang'aa.
6
Mwanga hemani mwake utakuwa giza, Nayo taa iliyo juu yake itazimwa.
7
Hatua zake za nguvu zitasongwa, Na shauri lake mwenyewe litamwangusha chini.
8
Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.
9
Tanzi litamshika kisigino chake, Na mtego utamshika.
10
Amefichiwa tanzi chini, Na mtego amewekewa njiani.
11
Vitisho vitamtia hofu kutoka kila upande, Na kumfukuza karibu na visigino vyake.
12
Nguvu zake zitaliwa na njaa, Na msiba utakuwa tayari kwa kusita kwake.
13
Utakula via vya mwili wake, Naam, mzaliwa wa kwanza wa mauti atavila via vyake.
14
Atang'olewa katika hema yake aliyokuwa akiitumaini; Naye atapelekwa kwake mfalme wa vitisho.
15
Katika hema yake hakuna kitakachobaki; Kiberiti kitamwagwa juu ya makazi yake.
16
Chini, mizizi yake itakaushwa; Na juu, tawi lake litasinyaa.
17
Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani.
18
Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.
19
Hatakuwa na mwana wala mjukuu kati ya watu wake, Wala hatasalia mtu hapo alipokaa.
20
Hao wanaokaa magharibi watastaajabia siku yake, Kama vile wanaokaa mashariki walivyotiwa hofu.
21
Hakika ndivyo yalivyo makazi ya wapotovu, Na hapa ni mahali pake asiyemjua Mungu.
← Chapter 17
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 19 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42