Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hayo ndiyo majina ya viongozi wa ukoo za watu waliorudi pamoja nami Ezra kutoka Babeli, wakati wa utawala wa mufalme Artasasta: Gersomi, wa ukoo wa Finehasi; Danieli, wa ukoo wa Itamari; Hatusi, wa ukoo wa Daudi; mwana mumoja wa ukoo wa Sekania; Zakaria, wa ukoo wa Parosi, pamoja na wanaume mia moja na makumi tano wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja; Eliyoenayi mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahati-Moabu, pamoja na wanaume mia mbili; Sekania mwana wa Yahasieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume mia tatu; Ebedi mwana wa Yonatani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume makumi tano; Yesaya mwana wa Atalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume makumi saba; Zebadia mwana wa Mikaeli, wa ukoo wa Sefatia, pamoja na wanaume makumi nane; Obadia mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Yoabu, pamoja na wanaume mia mbili kumi na wanane; Selemoti mwana wa Yosifia, wa ukoo wa Bani, pamoja na wanaume mia moja na makumi sita; Zakaria mwana wa Bebayi, wa ukoo wa Bebayi, pamoja na wanaume makumi mbili na wanane; Yohanani mwana wa Hakatani, wa ukoo wa Azgadi, pamoja na watu mia moja na kumi; Elifeleti, Yueli na Semaya, wa ukoo wa Adonikamu, pamoja na wanaume makumi sita, (hawa walirudi kisha); Utayi na Zakuri, wa ukoo wa Bigwayi pamoja na wanaume makumi sita.
What Does This Mean?
This verse lists the leaders of the families who went back to Jerusalem with Ezra from Babylon during King Artaxerxes' rule. Ezra is the one speaking and providing this list of people who went with him.
Explained for Children
Imagine you're going on a big trip with your family and some friends. Ezra is like the trip leader, and he's making a list of all the families coming with him to go back home.
Historical Background
Ezra wrote this in the 5th century BCE, likely after the Babylonian exile. He was writing for the returning Jewish community to document who came back to rebuild Jerusalem under Persian rule.
Living It Out Today
In a modern context, this could be like planning a large move to a new city and making sure all the key family members and friends are on board for the journey.
Artaxerxes was a Persian king who allowed the Jews to return to Jerusalem and rebuild the temple, making his reign a critical period for the Jewish people.
What is the importance of genealogy in this verse?
Genealogy is important as it helps trace the lineage of the returning leaders, establishing their heritage and legitimacy as they rebuild their community.
How does this verse relate to the broader narrative of Ezra?
This verse begins a list of people returning to Jerusalem with Ezra, part of the larger story of Ezra leading the community to rebuild and restore their faith and practices.
What can we learn from the organization of the return in this verse?
We can learn the value of leadership and organization in collective endeavors, as Ezra leads and records the families returning to Jerusalem.