bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
/
1 Chronicles 1
1 Chronicles 1
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 2 →
1
Adamu, Sethi, Enoshi,
2
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3
Idrisi, Methusela, Lameki, Nuhu.
4
Wana wa Nuhu walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7
Wana wa Yavani walikuwa: Al-Yasa, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15
Wahivi, Waariki, Wasini,
16
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22
Obali, Abimaeli, Sheba,
23
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25
Eberi, Pelegi, Reu,
26
Serugi, Nahori, Tera,
27
Tera akamzaa Abramu (yaani, Ibrahimu).
28
Ibrahimu alikuwa na wana wawili: Isaka na Ishmaeli.
29
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Ibrahimu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34
Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa: Esau na Israeli.
35
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ng’ambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52
Oholibama, Ela, Pinoni,
53
Kenazi, Temani, Mibsari,
54
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 2 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29