Hosea 14:10
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuko nani aliye mwerevu wa kweli, ayatambue hayo? Yuko nani aliye mtambuzi, ayajue maana yao hayo? Kwani njia za Bwana hunyoka, nao waongofu huzishika, lakini wapotovu hukwazwa nazo.
Compare Hosea 14:10 across all translations →