bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
/
Proverbs 9
Proverbs 9
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
← Chapter 8
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 10 →
1
Hekima umeijenga nyumba yake, Amezichonga nguzo zake saba;
2
Amechinja nyama zake, umechanganya divai yake, Ameiandalia meza yake pia.
3
Amewatuma wajakazi wake, analia, Mahali pa mjini palipoinuka sana,
4
Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,
5
Njoo ule mkate wangu, Ukanywe divai niliyoichanganya.
6
Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.
7
Amkemeaye mwenye dharau hujipatia fedheha; Amkaripiaye mtu mbaya hujipatia aibu.
8
Usimkaripie mwenye dharau, asije akakuchukia; Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.
9
Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima; Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;
10
Kumcha BWANA ni mwanzo wa hekima; Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu.
11
Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa; Na miaka ya maisha yako itaongezwa.
12
Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.
13
Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu.
14
Hukaa mlangoni pa nyumba yake, Juu ya kiti mahali pa mjini palipoinuka,
15
Apate kuwaita wapitao njiani, Waendao moja kwa moja katika njia zao.
16
Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,
17
Maji yaliyoibiwa ni matamu, Na mkate ulioliwa kwa siri hupendeza.
18
Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.
← Chapter 8
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 10 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31