bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
/
Psalms 105
Psalms 105
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
← Chapter 104
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 106 →
1
Haleluya.
2
Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi, Zitafakarini ajabu zake zote.
3
Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao Bwana.
4
Mtakeni Bwana na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote.
5
Zikumbukeni ajabu zake alizozifanya, Miujiza yake na hukumu za kinywa chake.
6
Enyi wazao wa Ibrahimu, mtumishi wake; Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.
7
Yeye, Bwana, ndiye Mungu wetu; Duniani mwote mna hukumu zake.
8
Analikumbuka agano lake milele; Neno lile aliloviamuru vizazi elfu.
9
Agano alilofanya na Ibrahimu, Na uapo wake kwa Isaka.
10
Alilomthibitishia Yakobo liwe amri, Na Israeli liwe agano la milele.
11
Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa.
12
Walipokuwa watu wawezao kuhesabiwa, Naam, watu wachache na wageni ndani yake,
13
Wakatanga-tanga toka taifa hata taifa, Toka ufalme mmoja hata kwa watu wengine.
14
Hakumwacha mtu awaonee, Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao.
15
Akisema, Msiwaguse masihi
16
Akaiita njaa iijilie nchi, Akakiharibu chakula chote walichokitegemea.
17
Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.
18
Walimwumiza miguu yake kwa pingu, Akatiwa katika minyororo ya chuma.
19
Hata wakati wa kuwadia neno lake, Ahadi ya Bwana ilimjaribu.
20
Mfalme alituma watu akamfungua, Mkuu wa watu akamwachia.
21
Akamweka kuwa bwana wa nyumba yake, Na mwenye amri juu ya mali zake zote.
22
Awafunge masheki wake kama apendavyo, Na kuwafundisha wazee wake hekima.
23
Israeli naye akaingia Misri, Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.
24
Akawajalia watu wake wazae sana, Akawafanya kuwa hodari kuliko watesi wao.
25
Akawageuza moyo wawachukie watu wake, Wakawatendea hila watumishi wake.
26
Akamtuma Musa, mtumishi wake, Na Haruni ambaye amemchagua.
27
Akaweka mambo ya ishara zake kati yao, Na miujiza katika nchi ya Hamu.
28
Alituma giza, kukafunga giza, Wala hawakuyaasi maneno yake.
29
Aliyageuza maji yao yakawa damu, Akawafisha samaki wao.
30
Nchi yao ilijaa vyura, Vyumbani mwa wafalme wao.
31
Alisema, kukaja makundi ya mainzi, Na chawa mipakani mwao mwote.
32
Badala ya mvua aliwapa mvua ya mawe, Na moto wa miali katika nchi yao.
33
Akaipiga mizabibu yao na mitini yao, Akaivunja miti ya mipaka yao.
34
Alisema, kukaja nzige, Na tunutu wasiohesabika;
35
Wakaila miche yote ya nchi yao, Wakayala matunda ya ardhi yao.
36
Akawapiga wazaliwa wa kwanza katika nchi, Malimbuko ya nguvu zao.
37
Akawatoa hali wana fedha na dhahabu, Katika kabila zao asiwepo mwenye kukwaa.
38
Misri ilifurahi walipoondoka, Maana kwa ajili yao hofu imewaangukia.
39
Alitandaza wingu liwe funiko, Na moto utoe nuru usiku.
40
Walipotaka akaleta kware, Akawashibisha chakula cha mbinguni.
41
Akaufunua mwamba, kukabubujika maji, Yakapita pakavuni kama mto.
42
Maana alilikumbuka neno lake takatifu, Na Ibrahimu, mtumishi wake.
43
Akawatoa watu wake kwa shangwe, Na wateule wake kwa nyimbo za furaha.
44
Akawapa nchi za mataifa, wakairithi kazi ya watu;
45
Ili wazishike amri zake, na kuzitii sheria zake. Haleluya.
← Chapter 104
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 106 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150