bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
/
Job 39
Job 39
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
← Chapter 38
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 40 →
1
“Je, unajua wakati mbuzi wa mlimani wanapozaa? Je, unatambua wakati kulungu jike anapozaa mtoto wake?
2
Je, unaweza kuhesabu miezi hadi wanapozaa? Je, unajua majira yao ya kuzaa?
3
Wao hujiinamisha na kuzaa watoto wao; uchungu wa kuzaa unakoma.
4
Watoto wao hustawi na kuongezeka nguvu nyikani; huenda zao wala hawarudi tena.
5
“Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru? Ni nani aliyezifungua kamba zake?
6
Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake, nchi ya chumvi kuwa makao yake.
7
Huzicheka ghasia za mji, wala hasikii kelele za mwendesha gari.
8
Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho na kutafuta kila kitu kibichi.
9
“Je, nyati atakubali kukutumikia? Atakaa karibu na hori lako usiku?
10
Je, unaweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba? Je, atalima mabonde nyuma yako?
11
Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi? Utamwachia yeye kazi zako nzito?
12
Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?
13
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo.
14
Huyataga mayai yake juu ya ardhi, na kuyaacha yapate joto mchangani,
15
bila kujali kuwa mguu unaweza kuyaponda, kwamba baadhi ya wanyama wa porini wanaweza kuyakanyaga.
16
Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake; hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,
17
kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima, wala hakumpa fungu la akili njema.
18
Lakini akunjuapo mabawa yake kukimbia, humcheka farasi pamoja na yeye aliyempanda.
19
“Je, wewe humpa farasi nguvu au kuivika shingo yake manyoya marefu?
20
Je, wewe humfanya farasi aruke kama nzige, akistaajabisha kwa tishio la mlio wake wa majivuno?
21
Huparapara bila woga, akizifurahia nguvu zake, husonga mbele kukabiliana na silaha.
22
Huicheka hofu, haogopi chochote, wala haukimbii upanga.
23
Podo hutoa sauti kando yake, pamoja na mkuki unaong’aa na fumo.
24
Bila woga na kwa ghadhabu huimeza nchi, wala tarumbeta iliapo yeye hawezi kusimama.
25
Asikiapo sauti ya baragumu yeye hulia, ‘Aha!’ Hunusa harufu ya vita toka mbali, husikia sauti ya mtoa amri na kelele za vita.
26
“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
27
Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?
28
Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
29
Kutoka huko hutafuta chakula chake; macho yake hukiona kutoka mbali.
30
Makinda yake hujilisha damu, na pale palipo na machinjo, ndipo yeye alipo.”
← Chapter 38
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 40 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42