bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
1 Chronicles 14
1 Chronicles 14
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 13
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 15 →
1
Kisha mufalme Hiramu wa Tiro akatuma wajumbe kwa Daudi, akamupelekea vilevile miti ya mierezi, wajengaji na waseremala, kusudi wamujengee Daudi nyumba ya kifalme.
2
Halafu, Daudi akatambua kwamba Yawe amemwimarisha akuwe mufalme wa Israeli, na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya Waisraeli, watu wake.
3
Kule Yerusalema, Daudi akaoa wake wengi zaidi, naye alizaa wana na wabinti wengine.
4
Haya ndiyo majina ya watoto aliozaa kule Yerusalema: Samua, Sobabu, Natani, Solomono,
5
Ibuhari, Elisua, Elipeleti,
6
Noga, Nefegi, Yafia,
7
Elisama, Beliada na Elifeleti.
8
Wafilistini waliposikia kwamba Daudi amepakwa mafuta kuwa mufalme wa inchi nzima ya Waisraeli, wote wakatoka kwa wingi kwenda kumutafuta. Daudi alipopata habari, akatoka kwenda kupigana nao.
9
Wafilistini wakafika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.
10
Halafu Daudi akamwomba Mungu shauri: “Niende kuwashambulia Wafilistini? Utawatia katika mikono yangu?” Naye Yawe akamwambia: “Kwenda, nitawatia katika mikono yako.”
11
Basi, Daudi akaenda kule Bali-Perasimu, akawashinda; halafu akasema: “Mungu amebomoa ukingo wa waadui zangu kwa mukono wangu, kama mafuriko ya maji yanayoenda mbio.” Kwa hiyo pahali pale panaitwa “Bwana Mwenye Kubomoa.”
12
Wafilistini walipokimbia, waliacha sanamu za miungu yao kule, naye Daudi akatoa amri zote zichomwe kwa moto.
13
Kisha Wafilistini wakafanya mashambulizi katika bonde lile kwa mara ya pili.
14
Mara hii, Daudi alipoomba shauri kwa Mungu, Mungu akamwambia: “Usiwashambulie kutokea hapa, lakini zunguka nyuma yao na kuwashambulia kutokea mbele ya miti ya miforosadi, halafu uwashambulie kutokea kule.
15
Na mara moja utakaposikia vishindo vya miguu kwenye vilele vya ile miforosadi, halafu, toka uende katika vita. Nitakuwa nimekwisha kukutangulia kuwapiga waaskari wa Wafilistini.”
16
Daudi akafanya kama vile alivyoamuriwa na Mungu. Akawapiga waaskari wa Wafilistini kutokea Gibeoni mpaka Gezeri.
17
Daudi akakuwa na sifa popote katika inchi, naye Yawe akayatia hofu mataifa yote, nayo yakamwogopa sana.
← Chapter 13
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 15 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29