bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Jeremiah 46
Jeremiah 46
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 45
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 47 →
1
Yawe akamutolea Yeremia ujumbe juu ya watu wa mataifa.
2
Juu ya Misri na jeshi la Neko mufalme wa Misri, lililokuwa huko Karkemisi karibu na muto Furati ambalo Nebukadneza mufalme wa Babeli alilishambulia katika mwaka wa ine wa utawala wa Yoyakimu mwana wa Yosia, mufalme wa Yuda:
3
Mutayarishe ngao ndogo na kubwa musonge mbele kwa kupigana vita.
4
Mutandike farasi na kupanda juu yao. Mushike nafasi zenu, na muvae kofia za chuma. Munoe mikuki yenu, muvae nguo zenu za chuma.
5
Lakini mbona ninawaona wametishwa? Wamerudi nyuma. Mashujaa wao wamepigwa, wamekimbia mbio, bila hata kuangalia nyuma. Kuna kitisho kila upande. –Ni ujumbe wa Yawe.–
6
Wanaokuwa wepesi hawawezi kutoroka, mashujaa hawawezi kukwepa; huko kaskazini kwenye muto Furati wamejikwaa na kuanguka.
7
Nani huyo anayekuwa kama muto Nili uliofurika, kama mito inayovumisha mawimbi?
8
Misri ni kama muto Nili uliofurika, kama mito inayovumisha mawimbi. Ilisema: Nitajaa, nitaifunika inchi, nitaiharibu miji na wakaaji wake.
9
Musonge mbele, enyi farasi; mushambulie, enyi magari ya vita. Mashujaa wasonge mbele: watu wa Etiopia na Puti wanaoshika ngao, watu wa Ludi, wafundi wa kutumia pinde.
10
Lakini siku hiyo ni siku ya Bwana wetu Yawe wa majeshi. Ni siku ya kulipiza kisasi, siku ya kuwaazibu waadui zake. Upanga utawamaliza hao na kutosheka, utaikunywa damu yao na kushiba. Maana Bwana wetu Yawe wa majeshi yuko na sadaka huko kaskazini karibu na muto Furati.
11
Mupande Gileadi, enyi watu wa Misri, kwa kutafuta dawa. Mumetumia dawa nyingi bure; hakuna kitakachowaponyesha ninyi.
12
Mataifa yamesikia jinsi mulivyopata haya, kilio chenu kimeenea katika dunia yote; mashujaa wamegongana wenyewe kwa wenyewe, wote pamoja wameanguka.
13
Hili ndilo neno ambalo Yawe alimwambia Yeremia wakati Nebukadneza mufalme wa Babeli alipofika kuishambulia inchi ya Misri:
14
Tangaza katika inchi ya Misri, uijulishe huko Migidoli, uijulishe huko Nofi na Tapanesi. Uwaambie: Mukae tayari kabisa maana upanga utawaangamiza kila nafasi.
15
Kwa nini shujaa wako amekimbia? Mbona ngombe dume wako hakuweza kuvumilia? Kwa sababu mimi Yawe nilimwangusha chini!
16
Wengi walijikwaa, wakaanguka, kisha wakaambiana wao kwa wao: Musimame, tuwaendee watu wetu, turudi katika inchi yetu, tuukimbie upanga wa adui.
17
Naye Mufalme wa Misri, mumupange jina hili: Mwenye domo ya bure!
18
Kama vile ninavyoishi, –ni ujumbe wa mufalme, jina lake Yawe wa majeshi– kweli adui anakuja kuwashambulia: ni hakika kama vile Tabori unavyokuwa mulima, kama vile mulima Karmeli unavyoonekana kutoka katika bahari.
19
Enyi wakaaji wa Misri, mujitayarishe na mizigo kwenda katika uhamisho! Maana muji wa Nofi utaharibiwa kabisa, utakuwa mabomoko yasiyokaliwa na watu.
20
Misri ni kama mwana-ngombe muzuri, lakini uharibifu kutoka kaskazini umekuja juu yake.
21
Hata waaskari wake wa mushahara ni kama wana-ngombe wanono; nao tena wamegeuka, wakakimbia pamoja, wala hawakuweza kuvumilia, kwa maana siku yao ya kuangamizwa imefika, wakati wao wa kuazibiwa umetimia.
22
Misri anatoroka bila fujo kama nyoka anayekimbia; maana waadui zake wanamufikia kwa nguvu, wanamufikia kwa mashoka kama wakata miti.
23
Watakata kabisa pori lake, ingawa halipenyeki. –Ni ujumbe wa Yawe– maana wao ni wengi kuliko nzige wasiohesabika.
24
Watu wa Misri watapata haya, watatiwa katika mikono ya watu kutoka kaskazini.
25
Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli, alisema: Mimi nitamwazibu Amoni mungu wa muji wa Tebesi, nitaiazibu Misri na miungu yake na wafalme wake, nitamwazibu Mufalme wa Misri na wote wanaomutegemea.
26
Nitawatia katika mikono ya wale wanaotaka kuyaangamiza maisha yao, ni kusema Nebukadneza mufalme wa Babeli na wakubwa wake. Kisha, inchi ya Misri itakaliwa na watu kama ilivyokuwa hapo zamani. –Ni ujumbe wa Yawe.
27
Lakini wewe usiogope, ee Yakobo mutumishi wangu, usifazaike, ee Israeli, maana nitakuokoa kutoka mbali, nitakuja kuwaokoa wazao wako kutoka inchi walimohamishiwa. Yakobo utarudi na kutulia na kustarehe, wala hakuna yeyote atakayekutia hofu.
28
Usiogope, ee Yakobo mutumishi wangu, kwa maana mimi niko pamoja nawe. –Ni ujumbe wa Yawe.– Nitayaangamiza kabisa mataifa yote ambayo nimekutawanya kati yao, lakini wewe sitakuangamiza. Nitakuazibu kadiri unavyostahili, sitakuacha bila kukuazibu.
← Chapter 45
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 47 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52