bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Proverbs 5
Proverbs 5
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 6 →
1
Mwana wangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikie elimu yangu.
2
Kwa hiyo, utaweza kulinda akili, na kinywa chako kitashika maarifa.
3
Midomo ya mwanamuke mupotovu ni mitamu kama asali, maneno yake ni laini kuliko mafuta;
4
lakini kwa mwisho ni michungu kama nyongo, ni mikali kama upanga wenye makali ngambo mbili.
5
Miguu yake inaelekea chini kwenye kifo, hatua zake zinaenda kuzimu.
6
Yeye haijali njia ya uzima, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.
7
Sasa enyi wana wangu, musikilize, wala musisahau maneno ya kinywa changu.
8
Uepushe njia yako mbali naye, wala usiukaribie mulango wa nyumba yake,
9
kusudi usiwape wengine heshima yako, na watenda mabaya miaka yako,
10
wageni wasipate kushibishwa kwa mali yako, na faida ya kazi yako kuishia katika nyumba ya mugeni.
11
Kwa mwisho wa maisha yako utaomboleza, wakati mwili wako utakapoangamizwa.
12
Kwa hiyo utasema: “Kwa nini nilichukia mafundisho? Kwa nini nilizarau ndani ya moyo wangu?
13
Sikusikiliza sauti ya walimu wangu, wala kuwategea sikio wale walionifundisha.
14
Nikakuwa karibu ya kuangamia kabisa katika kusanyiko na mukutano wa watu.”
15
Kunywa maji ya birika lako mwenyewe, maji yanayobubujika katika kisima chako mwenyewe.
16
Kwa nini chemichemi zako zitawanywe mbali, na vijito vya maji katika barabara?
17
Hiyo ni yako wewe mwenyewe, wala usiwashirikishe watu wengine.
18
Chemichemi yako ibarikiwe, umufurahie muke uliyemwoa ukiwa kijana.
19
Ni muzuri kama pongo, anapendeza kama paa. Mapenzi yake yakufurahishe kila wakati, uvutwe siku zote na mapendo yake.
20
Mwana wangu, kwa nini kutekwa na mwanamuke mwasherati? Kwa nini kukumbatia mwanamuke mugeni katika kifua?
21
Maana mwenendo wa kila mutu ni wazi mbele ya Yawe; yeye anachunguza njia zake zote.
22
Mutu mwovu ananaswa kwa uovu wake mwenyewe; anakamatwa na vifungo vya zambi yake mwenyewe.
23
Yeye anakufa kwa ajili ya ukosefu wa mafundisho, anaangamia kwa sababu ya upumbafu wake mukubwa.
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 6 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31