bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Psalms 105
Psalms 105
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 104
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 106 →
1
Mumushukuru Yawe, mutangaze ukubwa wake, mujulishe mataifa mambo aliyotenda!
2
Mushangilie, mumwimbie Mungu sifa, mueleze matendo yake ya ajabu!
3
Mujisifu kwa ajili ya jina lake takatifu; wanaomutafuta Yawe wafurahi.
4
Mumutafute Yawe mwenye nguvu; mumutafute Yawe siku zote.
5
Mukumbuke matendo ya ajabu aliyotenda, miujiza yake na hukumu alizotoa,
6
enyi wazao wa Abrahamu mutumishi wake, enyi wazao wa Yakobo muchaguliwa wake.
7
Yeye ndiye Yawe, Mungu wetu; hukumu zake zina nguvu katika dunia yote.
8
Yeye anashika agano lake milele, anatimiza ahadi zake kwa vizazi elfu.
9
Anashika agano alilofanya na Abrahamu, na ahadi aliyomwapia Isaka.
10
Alimusimamishia Yakobo ahadi yake, akamuhakikishia agano hilo la milele.
11
Alisema: “Nitawapa inchi ya Kanana, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”
12
Watu wa Mungu walikuwa wachache tu, tena walikuwa wageni katika inchi ya Kanana.
13
Walitangatanga kutoka taifa mpaka taifa, kutoka inchi moja mpaka inchi ingine.
14
Lakini Mungu hakuruhusu wateswe; kwa ajili yao aliwaonya wafalme, akisema:
15
“Musiwaguse wachaguliwa wangu; musiwazuru manabii wangu!”
16
Mungu alileta njaa katika inchi yao, akafunga njia zao zote za kupata chakula.
17
Lakini aliwatangulizia mutu mumoja, Yosefu aliyekuwa ameuzishwa kuwa mutumwa.
18
Walimufunga miguu kwa minyororo, na kikomo cha chuma kwenye shingo,
19
mpaka kile alichotabiri kilipotimia. Neno la Yawe likahakikisha kwamba alikuwa na haki.
20
Mufalme wa Misri akaamuru afunguliwe; mutawala wa mataifa akamwachilia huru.
21
Alimuweka kuwa musimamizi wa serikali yake, na mukubwa wa mali yake yote,
22
awaongoze wakubwa wa serikali yake sawa anavyopenda, na kuwafundisha wazee wake hekima.
23
Halafu Israeli akaingia katika inchi ya Misri; Yakobo akakuwa mugeni katika inchi ya Hamu.
24
Yawe akawafanya watu wake wazae sana; akawajalia nguvu kuliko waadui zao.
25
Aliwafanya Wamisri wawachukie watu wake, wakawatendea watumishi wake vibaya.
26
Kisha akamutuma Musa mutumishi wake, akamutuma pamoja na Haruni muchaguliwa wake.
27
Wakafanya maajabu ya Mungu kati ya Wamisri, na miujiza katika inchi hiyo ya Hamu.
28
Mungu akaleta giza juu ya inchi; lakini Wamisri wakakataa kutii amri zake.
29
Akageuza mito yao kuwa damu, akaua samaki wao wote.
30
Vyura wakajaa juu ya inchi yao, hata katika nyumba ya mufalme.
31
Mungu akaamuru, kukatokea makundi ya mainzi, na imbu katika inchi yote.
32
Kwa pahali pa mvua akawatumia mvua ya mawe, na radi iliyounguza inchi yao yote;
33
akaharibu mizabibu na miti yao ya tini; akavunja miti ya inchi yao.
34
Mungu akaamuru, kukatokea nzige, na mapanzi maelfu yasiyohesabiwa;
35
wakatafuna mimea yote katika inchi, wakakula mazao yao yote.
36
Aliua wazaliwa wa kwanza katika inchi yao, ndilo chipukizi la kwanza la jamaa za Wamisri.
37
Kisha akawaondoa watu wa Israeli katika inchi, wakikuwa na feza na zahabu; wala hakuna hata mumoja wao aliyejikwaa.
38
Wamisri walifurahia kuondoka kwao, maana hofu iliwashika kwa sababu yao.
39
Mungu alitandaza wingu juu ya watu wake, na moto kusudi uwaangazie usiku.
40
Waliomba, naye akawaletea kwale, akawapa mukate kutoka mbinguni kwa wingi.
41
Alipasua jiwe maji yakabubujika; yakatiririka katika jangwa kama muto.
42
Alikumbuka ahadi yake takatifu aliyomupa Abrahamu mutumishi wake.
43
Basi akawaondoa watu wake katika inchi, wachaguliwa wake wakaimba na kushangilia.
44
Aliwapa inchi za mataifa na kuwatolea mashamba ya wenyeji,
45
kusudi watu wake watii masharti yake, na kufuata sheria zake. Haleluia!
← Chapter 104
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 106 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150