bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Psalms 69
Psalms 69
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 68
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 70 →
1
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo “Mayungiyungi.” Zaburi ya Daudi.
2
Uniokoe, ee Mungu; maji yamenifikia katika shingo.
3
Ninazama ndani ya matope mengi, hakuna pahali pa kuweka miguu. Nimetumbukia kwenye shimo refu la maji, ninachukuliwa na maji mengi.
4
Ninaregea kwa ajili ya kulalamika, na koo langu limekauka. Macho yangu yamefifia, nikikungojea ewe Mungu wangu.
5
Watu wengi kuliko nywele zangu wananichukia. Wana nguvu sana hao wanaotaka kuniua, hao wanaonishambulia kwa mambo ya uongo. Nirudishe kitu ambacho sikuiba?
6
Ee Mungu, unajua upumbafu wangu; makosa yangu hayafichwi mbele yako.
7
Wanaokutumainia wasifezeheke kwa sababu yangu, ee Bwana wetu, Yawe wa majeshi; wanaokutafuta, wasizarauliwe kwa sababu yangu, ee Mungu wa Israeli.
8
Kwa ajili yako ninavumilia matusi; haya imefunika uso wangu.
9
Nimekuwa mugeni kwa wandugu zangu, kaka na dada zangu hawanitambui.
10
Upendo wangu kwa ajili ya nyumba yako unanichoma. Matusi wanayokutukana yananiangukia.
11
Nilipojinyenyekeza kwa kufunga kula chakula, watu walinilaumu.
12
Nilipovaa gunia kwa kuomboleza, nikageuka kuwa wimbo kwao.
13
Nimekuwa kichekesho kwa watu katika barabara; walevi wanatunga nyimbo juu yangu.
14
Lakini mimi ninakuomba wewe, ee Yawe. Ee Mungu, ukubali maombi yangu wakati unaopenda. Kwa wingi wa wema wako unijibu. Wewe mukombozi anayestahili kuaminiwa,
15
uniokoe nisizame katika matope; uniokoe na hao wanaonichukia, unilinde salama kutoka shimo refu la maji.
16
Usiniache nipelekwe na maji mengi, au nizame kwenye shimo lake, au nimezwe na kifo.
17
Ee Yawe, unijibu, unielekee, kwa uzuri wa wema wako, kwa wingi wa rehema yako.
18
Usimugeuzie mutumishi wako mugongo, unijibu haraka, maana niko katika hatari.
19
Unisogelee karibu na kunikomboa, uniokoe na waadui zangu wengi.
20
Wewe unajua ninavyotukanwa, unajua haya na matusi ninazopata; na waadui zangu wote wewe unawajua.
21
Matusi yamevunja moyo wangu, nami nimekata tamaa. Nimetafuta kitulizo lakini sikupata, nimetafuta wa kunifariji lakini sikumupata.
22
Walinipa sumu ndani ya chakula, na nilipokuwa na kiu wakanipa divai inayochacha.
23
Karamu zao zikuwe mutego kwao, na sikukuu zao ziwanase.
24
Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona, uikunje siku zote migongo yao.
25
Uwamwangie hasira yako, kasirani yako iwaangukie.
26
Kambi zao ziachwe matongo, mutu yeyote asiishi katika mahema yao.
27
Maana wanamutesa yule uliomwazibu, wanawaongezea maumivu wale uliowaumiza.
28
Uwaazibu kwa kila uovu wao; ukatae kabisa kuwasamehe.
29
Uwafute katika kitabu cha wenye kuishi, wasikuwe katika hesabu ya watu wa haki.
30
Lakini mimi ninayekuwa muzaifu na mugonjwa, uniinue juu, ee Mungu, uniokoe.
31
Kwa wimbo nitalisifu jina la Mungu, nitamutukuza kwa shukrani.
32
Jambo hili litamupendeza Yawe zaidi, kuliko kumutolea sadaka ya ngombe, kuliko kumutolea ngombe dume muzima.
33
Wanyenyekevu wataona hayo na kufurahi; wanaomutafuta Mungu watapata moyo.
34
Yawe anawasikiliza wakosefu; hatawasahau hata kidogo watu wake wafungwa.
35
Enyi mbingu na dunia, mumusifu Mungu; bahari na vyote vinavyokuwa ndani yenu, mumusifu.
36
Maana Mungu ataokoa Sayuni, na kuijenga tena miji ya Yuda. Watu wake wataishi humo na kuirizi;
37
wazao wa watumishi wake watairizi, wale wanaopenda jina lake wataishi humo.
← Chapter 68
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 70 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150