bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 14
Job 14
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 13
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 15 →
1
Mutu anazaliwa na mwanamuke, ana siku chache, na taabu nyingi.
2
Anachanua kama maua, kisha ananyauka. Anakimbia kama kivuli na kutoweka.
3
Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangalia na kuanza kusamba naye?
4
Nani anayeweza kutoa kitu kisafi kutoka kitu kichafu? Hakuna anayeweza.
5
Siku za kuishi za mwanadamu zimepimwa. Ee Mungu, umepanga hesabu ya miezi yake; hawezi kupita mupaka uliomwekea.
6
Angalia pembeni basi, umwache, kusudi apate kufurahia siku zake kama mutumishi wa mushahara.
7
Muti ukikatwa, kuna tumaini la kuota, unaweza kuchipuka tena.
8
Japo mizizi yake itazeeka katika udongo, na shina lake kukufia ndani ya udongo,
9
lakini kwa harufu tu ya maji utachipuka, utatoa matawi kama chipukizi.
10
Lakini mutu anakufa na ule ndio mwisho wake. Akisha kutoa roho, anabakiliwa na nini tena?
11
Kama vile maji yanavyokauka katika ziwa, na muto unavyokoma kutiririka,
12
ndivyo mutu anavyokufa, wala haamuki tena. Hataamuka tena wala kusisimuka, hata pale mbingu zitakapotoweka.
13
Heri ungenificha katika kuzimu, ungenificha mpaka kasirani yako itulie, nawe ungenipimia muda kwa kunikumbuka tena.
14
Mutu akikufa anaweza kuishi tena? Siku zangu zote za kazi ningekungoja mpaka wakati wa kufunguliwa ufike.
15
Halafu ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.
16
Kwa hiyo ungeweza kuhesabu hatua zangu, ungeacha kuchunguza zambi zangu.
17
Makosa yangu yangefungiwa katika mufuko, nawe ungefunika uovu wangu.
18
Lakini milima inaanguka nayo mawe yanaongoka pahali pake.
19
Mitiririko wa maji inakulakula mawe, mvua kubwa inaleta mumomonyoko wa udongo. Ndivyo nawe unavyoharibu tumaini la mwanadamu.
20
Wewe unamwangusha mwanadamu, naye anatoweka milele; unaubadilisha uso wake na kumutupilia mbali.
21
Watoto wake wakiheshimika, yeye hana habari. Wakizarauliwa, yeye haoni kabisa.
22
Anasikia tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.
← Chapter 13
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 15 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42