bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 21
Job 21
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 20
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 22 →
1
Kisha Yobu akajibu:
2
Musikilize kwa uangalifu maneno yangu; na hiyo ikuwe ndiyo faraja yenu.
3
Munivumilie, nami nitasema, na nikisha sema muendelee kunichekelea.
4
Basi, mimi ninamulalamikia mwanadamu? Kwa nini basi nikose uvumilivu?
5
Muniangalie, nanyi mushangae, muweke mikono yenu juu ya vinywa vyenu.
6
Nikifikiri yaliyonipata ninafazaika, mwili wangu unatetemeka kwa hofu.
7
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi? Mbona nguvu zao zinaongezeka hata katika uzee?
8
Wanaona watoto wao wakifanikiwa na wazao wao wakipata nguvu.
9
Kwao kila kitu ni salama bila hofu, wala fimbo ya Mungu haiwafikii.
10
Kweli, ngombe wao wote wanaongezeka, wanazaa bila matatizo yoyote.
11
Watoto wao wachanga wanatembea kama kundi; na watoto wao wanacheza ngoma;
12
wanacheza muziki wa ngoma na vinubi, na kufurahia sauti ya filimbi.
13
Wanaishi maisha ya fanaka kisha wanashuka kwa amani katika kuzimu.
14
Wanamwambia Mungu: “Usitusumbue! Hatutaki kujua mapenzi yako.
15
Mungu Mwenye Uwezo ni nini hata tumutumikie? Tunapata faida gani tukimwomba?”
16
Kufanikiwa kwao si kuko katika mikono yao, wakiwa wamemuweka Mungu mbali na mipango yao?
17
Mara ngapi umepata kuona mwangaza wa maisha ya mwovu umezimishwa na kupatwa na hasara? Au Mungu amekwisha kuwaangamiza kwa hasira yake?
18
Hata hivyo, wapeperushwe kama majani yenye kukauka, wakuwe kama maganda yanayopelekwa na zoruba!
19
Ninyi munasema: “Mungu amewawekea watoto wao azabu ya watu wale waovu.” Kwa nini hawalipizi wao wenyewe, wapate kutambua?
20
Waone wenyewe maangamizi yao; waone wenyewe kasirani ya Mungu Mwenye Uwezo.
21
Maana siku zao zitakapokwisha, watajali nini juu ya wazao wao?
22
Mwanadamu anaweza kumufundisha Mungu maarifa, Mungu ambaye anahukumu wakaaji wa mbinguni?
23
Mutu mumoja anakufa mwenye nguvu tele, akiwa katika raha na salama,
24
akijaa mafuta tele katika mwili, na mifupa yake ikiwa bado na nguvu.
25
Mwingine anakufa na huzuni kubwa ndani ya moyo, akiwa hajaonja bado jambo lolote jema.
26
Hata hivyo, wote wanakufa na kuzikwa, wote wanafunikwa na vidudu.
27
Musikilize! Mimi ninajua mawazo yenu yote, na mipango yenu ya kunizarau.
28
Ninyi munauliza: “Iko wapi nyumba ya yule mukubwa? Iko wapi nyumba mwovu alimoishi?”
29
Hamujawauliza wapita njia? Hamukufahamu habari zao?
30
Mwovu anaponyeshwa siku ya hasara, anaokolewa siku ya kasirani!
31
Ni nani atakayemwonyesha makosa yake, au atakayemulipa kwa yote aliyotenda?
32
Anapokamatwa kupelekwa katika kaburi, kaburi lake linalindwa.
33
Nyuma yake watu wengi wanamusindikiza na wengine wengi sana wanamutangulia. Anapozikwa, udongo unateremushwa polepole.
34
Mutaweza namna gani basi, kunifariji kwa maneno matupu? Majibu yenu hayana kitu chochote lakini uongo tu.
← Chapter 20
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 22 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42