bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 22
Job 22
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 21
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 23 →
1
Kisha Elifasi wa inchi ya Temani akajibu Yobu:
2
Mwanadamu anafaa kwa kitu chochote mbele ya Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidia mwenyewe tu.
3
Unazani kwamba unamufurahisha Mungu Mwenye Uwezo kama wewe ni mwenye haki? Au anapata faida gani kama uko mukamilifu?
4
Unazani anakuazibu na kukuhukumu kwa sababu wewe unamuheshimu?
5
Hapana! Uovu wako ni mukubwa sana! Ubaya wako hauna mwisho!
6
Wewe umemunyanganya ndugu yako nguo ya rehani; umemutwaa nguo hiyo moja anayokuwa nayo.
7
Umewanyima maji wale waliokuwa wamechoka; umewanyima chakula wale wanaokuwa na njaa.
8
Umemuruhusu mwenye cheo kunyanganya inchi yote; umemwacha anayependelewa aishi mule.
9
Umewaacha wajane waende mikono mitupu; umewaponda wayatima mikono yao.
10
Kwa hiyo mitego imekuzunguka pande zote, hofu ya rafla imekupata.
11
Giza limekuangukia usione kitu; mafuriko ya maji yamekufunika.
12
Tunajua kwamba Mungu yuko kule juu mbinguni; Angalia jinsi nyota za juu kabisa zinavyokuwa mbali!
13
Lakini wewe unasema: “Mungu anajua nini? Anaweza kupenya mawingu na kutoa hukumu?
14
Mawingu mazito yamemuzunguka asipate kuona; anatembea inje ya anga la dunia!”
15
Umeamua kufuata njia za zamani ambazo watu waovu wamezifuata?
16
Hao walifagiliwa mbele ya wakati wao, misingi yao imepelekwa mbali na maji.
17
Hao ndio waliomwambia Mungu: “Achana nasi!” Na “Wewe Mungu Mwenye Uwezo unaweza nini juu yetu?”
18
Lakini Mungu ndiye aliyejaza nyumba zao fanaka, lakini walimuweka mbali na mipango yao!
19
Wenye haki wanaona na kufurahi, wasiokuwa na kosa wanawachekelea.
20
Wanasema: kweli wale waadui zetu wameangamizwa, na walichoacha kimeteketezwa kwa moto.
21
Sasa, Yobu, ukubaliane na Mungu ukuwe na amani, na kwa hiyo mazuri yatakufikia.
22
Pokea mafundisho kutoka kwake; na uyaweke maneno yake ndani ya moyo wako.
23
Ukimurudilia Mungu na kunyenyekea, ukiondoa uovu mbali na makao yako,
24
ukitupilia mbali mali yako, ukitupa zahabu ya Ofiri kwenye ukingo wa kijito,
25
Mungu Mwenye Uwezo akiwa ndiyo zahabu yako na feza yako ya bei kali,
26
basi, ndipo utakapomufurahia Mungu Mwenye Uwezo na kuinua uso wako kwake.
27
Utamwomba naye atakusikiliza, nawe utavitimiza viapo vyako.
28
Neno lolote utakalokusudia litafanikiwa, na mwangaza utaangazia njia zako.
29
Maana, Mungu anawashusha wenye majivuno, lakini anawaokoa wanyenyekevu.
30
Yeye anamwokoa mutu asiyekuwa na kosa. Nawe utaokolewa kwa sababu haukutenda mabaya.
← Chapter 21
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 23 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42