bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 17
Job 17
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 18 →
1
Nimevunjika moyo, siku zangu zimekwisha, kaburi langu liko tayari.
2
Kweli wanaonichekelea wamenizunguka, matusi yao yananizuiza kulala.
3
Ee Mungu, ujitoe mwenyewe kuwa rehani kwa ajili yangu maana hakuna mwingine wa kujitoa kwa ajili yangu.
4
Umefumba akili za warafiki zangu; usiwaache basi wanishinde.
5
Mutu anayefitini warafiki zake kwa faida, watoto wake watakufa macho.
6
Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu, nimekuwa mutu wa kutemewa mate.
7
Macho yangu yamefifia kwa ajili ya uchungu; viungo vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.
8
Watu wa haki wanashangaa wanapoona hayo, nao wasiokuwa na kosa wanachukizwa na wasiomwogopa Mungu.
9
Hata hivyo, mutu wa haki anashika njia yake, mutu ambaye hajafanya ubaya kwa mukono wake anazidi kuwa na nguvu.
10
Lakini ninyi mukuje, mukuje wote tena. Kwenu sitamupata mwenye hekima hata mumoja.
11
Siku zangu zimekwisha, mipango yangu imevunjwa, matazamio ya moyo wangu yametoweka.
12
Kwa hao watu, usiku ni muchana: wanasema kwamba mwangaza unakaribia giza.
13
Kama kuzimu kukiwa nyumba yangu, na makao yangu yako kule katika giza,
14
kama nikiita kaburi “baba yangu” na vidudu “mama yangu” au “dada yangu”,
15
basi, nimebakiliwa na tumaini gani? Ni nani anayeweza kuona tumaini lile?
16
Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremuka wote wawili mpaka kule katika mavumbi!
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 18 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42