bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 27
Job 27
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 26
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 28 →
1
Yobu akaendelea kutoa masemi yake, akasema:
2
Kama vile Mungu anavyoishi, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Uwezo aliyeifanya nafsi yangu ikuwe na uchungu,
3
ninaapa kwamba kadiri ninavyoweza kupumua, roho ya Mungu ikiwa bado ndani yangu,
4
midomo yangu haitasema uongo hata kidogo, wala ulimi wangu kusema udanganyifu.
5
Siwezi kabisa kusema kwamba ninyi munasema ukweli. Mpaka kufa kwangu ninasema sina kosa.
6
Ninashikilia haki yangu, wala sitaiacha; katika zamiri yangu sina cha kunihukumu katika maisha yangu.
7
Adui yangu apate azabu ya mwovu, anayesimama kunishambulia aazibiwe kama mubaya.
8
Asiyemwogopa Mungu ana tumaini gani wakati Mungu anapokata pumzi yake, anapomwondolea uzima wake?
9
Wakati atakapopatwa na taabu, Mungu atasikia kilio chake?
10
Mwovu hawezi kufurahi mbele ya Mungu Mwenye Uwezo; hataweza kudumu akimwomba Mungu.
11
Nitawafundisha jinsi kitendo cha Mungu kinavyokuwa, sitawaficha mipango ya Mungu Mwenye Uwezo.
12
Lakini ninyi munajua jambo lile vizuri sana! Mbona, basi munasema maneno yasiyokuwa na maana?
13
Hiki ndicho Mungu alichomwekea mutu mwovu; mutesaji alichopangiwa kupata ni hiki:
14
Watoto wake hata wakuwe wengi watauawa kwa upanga; wazao wake hawatakuwa na chakula cha kutosha.
15
Wale watakaopona watakufa kwa ugonjwa mukali, na wajane wao hawatawaomboleza.
16
Hata akilundika feza kama vile mavumbi, na nguo kama vile udongo wa mufinyanzi,
17
yeye alundike tu, lakini mwenye haki ndiye atakayezivaa, na feza yake watu wasiokuwa na kosa wataigawanyana.
18
Nyumba mwovu anayojenga ni kama vile utando wa buibui, ni kama vile kibanda cha mulinzi katika shamba.
19
Anakwenda kulala akiwa tajiri, lakini ni mara ya mwisho; atafungua macho yake, na utajiri wake umetoweka!
20
Vitisho vinamufikia kama vile mafuriko; usiku anapatwa na zoruba.
21
Upepo mukali wa mashariki unamupeperusha naye anatoweka; unamufagilia mbali kutoka makao yake.
22
Upepo ule unamufunika bila huruma; anajaribu kukimbia lakini mbio za bure.
23
Upepo unamupigia vigelegele anapokimbia, na kumuzomea toka pahali pake.
← Chapter 26
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 28 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42