bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 6
Job 6
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 5
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 7 →
1
Yobu akamujibu Elifasi:
2
Heri uchungu wangu ungepimwa, nayo mateso yangu yote yangewekwa katika mizani!
3
Yangekuwa mazito kuliko muchanga wa bahari. Ni kwa hiyo maneno yangu hayana maana!
4
Mishale ya Mungu Mwenye Uwezo imenichoma; nafsi yangu imekunywa sumu yake. Vitisho vya Mungu vimenipata.
5
Punda wa pori analia akiwa na majani, au ngombe akiwa na malisho?
6
Kitu kisichokuwa na onjo kinaweza kuliwa bila chumvi? Sehemu nyeupe ya yai ina utamu wowote?
7
Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vinavyonichukiza.
8
Heri ningejibiwa kwa ombi langu, Mungu angenipatia kile ninachotamani,
9
angependezwa kunipondaponda, angenyoosha mukono wake juu yangu na kuniua!
10
Hiyo ingekuwa faraja yangu, ningefurahi katika maumivu yasiyokuwa na huruma, kwa sababu sikukataa maagizo ya Mungu Mutakatifu.
11
Sina nguvu ya kuweza kuendelea. Sijui mwisho wangu utakuwa namna gani, nipate kuvumilia.
12
Nguvu zangu ni kama za mawe? Au mwili wangu kama shaba?
13
Kweli kwangu hakuna kitu cha kunisaidia; musaada wowote ni mbali nami.
14
Anayekataa kutendea mema rafiki yake, anakataa kumwogopa Mungu Mwenye Uwezo.
15
Warafiki zangu wamenidanganya kama kijito, wamenidanganya kama mifereji isiyokuwa na maji,
16
ambayo imejaa barafu, na teluji imejificha ndani yake.
17
Wakati wa kipwa inatoweka, wakati wa jua kali inakauka.
18
Wasafiri wanapotea njia zao wakitafuta maji, wanapanda katika jangwa na kukufia kule.
19
Wasafiri toka Tema wanatafutatafuta, wasafiri toka Sheba wanatumainia.
20
Wanachukizwa kwa kutumainia bure, wanafika kwenye vijito hivyo na kuuzika.
21
Ninyi mumekuwa kama vijito hivyo, munaona hasara yangu na kuogopa.
22
Nimesema munipe zawadi? Au munitolee sehemu ya mali zenu?
23
Au muniokoe toka katika mikono ya adui? Au munikomboe toka katika mukono wa watesaji?
24
Munifundishe, nami nitanyamaza. Munieleweshe jinsi nilivyokosa.
25
Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yanafaa kwa nini?
26
Munazani kwamba munaweza kuchunguza maneno? Maneno ya mutu aliyekata tamaa ni upepo tu.
27
Ninyi munasubutu hata kuwapigia wayatima kura; munauzisha hata rafiki yenu!
28
Lakini sasa muniangalie tafazali. Mimi sitasema uongo mbele yenu.
29
Tafazali mugeuke, kusikuwe uovu; muache sasa, kwa ajili ya haki yangu.
30
Munazani kwamba nimesema uovu? Munafikiri kwamba mimi siyatambui machungu?
← Chapter 5
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 7 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42