bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Job 37
Job 37
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 36
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 38 →
1
Kutokana na hayo, moyo wangu unatetemeka, na kuruka kutoka pahali pake.
2
Musikilize ngurumo ya sauti ya Mungu, na muvumo wa sauti kutoka ndani ya kinywa chake.
3
Anafanya uenee chini ya mbingu yote, anaeneza umeme wake katika pembe zote za dunia.
4
Halafu sauti yake inanguruma, sauti ya Mungu inanguruma kwa utukufu; yeye hazuizi umeme wakati inaposikilika.
5
Mungu anapiga radi ya ajabu kwa sauti yake, anafanya mambo makubwa tusiyoweza kuyaelewa.
6
Anaiambia teluji: “Anguka juu ya inchi!” na manyunyu na mvua: “Nyesha kwa nguvu.”
7
Anafunga shuguli za kila mutu kusudi watu wote watambue kazi yake.
8
Nyama wa pori wanarudi katika maficho yao na kubaki katika mapango yao.
9
Zoruba inavuma kutoka chumba chake, na baridi kali kutoka katika gala yake.
10
Kwa pumzi ya Mungu barafu inatokea, uso wa maji unaganda kwa haraka.
11
Mungu analijaza wingu manyunyu mazito; mawingu yanasambaza umeme wake.
12
Kwa amri yake vyote vinazunguka huku na kule, kutimiza kila kitu anachoviamuru, kufanya katika ulimwengu wa viumbe.
13
Mungu anatimiza mapenzi yake katika dunia, ikuwe ni kwa ajili ya kuwaazibu watu, au kwa ajili ya kuonyesha wema wake.
14
Unapaswa kusikiliza Yobu! Nyamaza, usikilize maajabu ya Mungu.
15
Unajua jinsi Mungu anavyovipa amri yake, na kuyafanya umeme wa mawingu yake uangae?
16
Unajua jinsi mawingu yanavyoelea katika anga? Ndizo kazi za ajabu za yule anayekuwa mukamilifu wa maarifa!
17
Wewe unajiona umevaa nguo za joto sana, wakati upepo wa kusini unapovuma juu ya inchi.
18
Unaweza kuzitandaza mbingu kama yeye hata zikuwe ngumu kama kioo cha shaba?
19
Utufundishe tutakachomwambia Mungu; maana masemi yetu si wazi, tuko katika giza.
20
Yeye anahitaji kujulishwa kwamba ninataka kusema? Au mutu anaweza kujitakia kuangamizwa?
21
Kwa rafla mutu hawezi tena kuona waziwazi: Jua limefichwa nyuma ya mawingu, na upepo umesafisha anga!
22
Mwangaza muzuri unatokea upande wa kaskazini; Mungu amezungukwa na utukufu wa kutisha.
23
Mungu Mwenye Uwezo asiyeweza kufikiwa na mutu, uwezo na haki yake ni mukubwa. Amejaa haki wala hapotoshi sheria hata kidogo.
24
Kwa hiyo, watu wote wanamwogopa. Yeye hawajali watu wanaojiona kuwa wenye hekima.
← Chapter 36
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 38 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42