bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
/
Job 17
Job 17
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 18 →
1
“Nimevunjika moyo, siku zangu zimekwisha, kaburi langu liko tayari.
2
Kweli wanaonidhihaki wamenizunguka, dhihaka zao naziona dhahiri.
3
“Ee Mungu, uwe mdhamini wangu mbele yako, maana hakuna mwingine wa kunidhamini.
4
Maadamu umezifumba akili za rafiki zangu; usiwaache basi wanishinde.
5
Mtu anayewasaliti rafiki zake kwa faida watoto wake watakufa macho.
6
“Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu nimekuwa mtu wa kutemewa mate.
7
Macho yangu yamefifia kwa uchungu; viungo vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.
8
Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu, nao wasio na hatia hujichochea dhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu.
9
Hata hivyo, mnyofu hushikilia msimamo wake, mtu atendaye mema huzidi kuwa na nguvu zaidi.
10
Lakini nyinyi njoni, njoni nyote tena, kwenu sitampata mwenye hekima hata mmoja.
11
“Siku zangu zimekwisha, mipango yangu imevunjwa; matazamio ya moyo wangu yametoweka.
12
Kwa hao rafiki zangu usiku ni mchana; je, ndio kusema mna mwanga gizani humu?
13
Kwa vile Kuzimu ndio nyumba yangu, na makao yangu yamo humo gizani;
14
kama naliita kaburi ‘baba yangu’ na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’,
15
je, nimebakiwa na tumaini gani? Ni nani awezaye kuona tumaini hilo?
16
Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremka sote wawili hadi huko mavumbini!”
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 18 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42