bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
1 Chronicles 18
1 Chronicles 18
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 17
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 19 →
1
Hayo yalipokwisha, Dawidi akawapiga Wafilisti, akawashinda, akauchukua Gati na vijiji vyake mikononi mwa Wafilisti.
2
Akawapiga nao Wamoabu, hao Wamoabu wakawa watumishi wa Dawidi, wakamletea mahongo.
3
Kisha Dawidi akampiga Hadarezeri, mfalme wa Soba ulioko upande wa Hamati, alipokwenda kuusimika tena ufalme wake huko kwenye jito la Furati.
4
Dawidi akateka kwake magari 1000, na wapanda farasi 7000 na askari waliokwenda kwa miguu 20000, nao farasi wote wa kuvuta magari Dawidi akawakata mishipa ya miguu, akajisazia farasi wa magari mia tu.
5
Washami wa Damasko walipokuja kumsaidia Hadarezeri, mfalme wa Soba, Dawidi akapiga kwao Washami watu 22000.
6
Dawidi akaweka askari kwao Washami wa Damasko, hao Washami wakawa watumishi wa Dawidi, wakamletea mahongo. Ndivyo, Bwana alivyompa Dawidi kushinda pote, alipokwenda.
7
Dawidi akazichukua ngao za dhahabu, watumishi wa Hadarezeri walizokuwa nazo, akazipeleka Yerusalemu.
8
Namo mle Tibehati na Kuni iliyokuwa miji ya Hadarezeri Dawidi akachukua shaba nyekundu nyingi mno; ndizo, Salomo alizozitumia za kutengeneza ile bahari ya shaba nazo zile nguzo navyo vyombo vya shaba.
9
Tou, mfalme wa Hamati, aliposikia, ya kuwa Dawidi amevipiga vikosi vyote vya Hadarezeri, mfalme wa Soba,
10
akamtuma mwanawe Hadoramu kwake mfalme Dawidi kumpongeza na kumbariki, kwa kuwa amepigana na Hadarezeri na kumshinda, kwani Tou na Hadarezeri walikuwa wakipigana vita; akampelekea vyombo vyo vyote vya dhahabu na vya fedha na vya shaba.
11
Hivi navyo mfalme Dawidi akavitakasa kuwa mali za Bwana kama fedha na dhahabu, alizoziteka kwa mataifa yote, kwa Waedomu na kwa Wamoabu na kwa wana wa Amoni na kwa Wafilisti na kwa Waamaleki.
12
Naye Abisai, mwana wa Seruya, akawapiga Waedomu Bondeni kwa Chumvi, watu 18000.
13
Kisha Dawidi akaweka askari kwa Waedomu, nao Waedomu wote wakawa watumishi wa Dawidi. Ndivyo, Bwana alivyompa Dawidi kushinda po pote, alipokwenda.
14
Dawidi akawa mfalme wa Waisiraeli wote, akawatengenezea watu wake wote mashauri yaliyokuwa sawa, maana yaliongoka.
15
Naye Yoabu, mwana wa Seruya, alikuwa mkuu wa vikosi, naye Yosafati, mwana wa Ahiludi, alikuwa mwandishi wa mambo yaliyopaswa kukumbukwa.
16
Naye Sadoki, mwana wa Ahitubu, na Ahimeleki, mwana wa Abiatari, walikuwa watambikaji, naye Sausa alikuwa mwandishi.
17
Naye Benaya, mwana wa Yoyada, alikuwa mkuu wa Wakreti na wa Wapuleti, nao wana wa Dawidi walikuwa wa kwanza mkononi kwa mfalme.
← Chapter 17
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 19 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29