bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Psalms 104
Psalms 104
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 103
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 105 →
1
Mtukuze Bwana, roho yangu! Bwana Mungu wangu, u mkuu kabisa, yenye urembo na utukufu umeyavaa.
2
Umejivika mwanga, kama ni kanzu, ukazitanda mbingu kama nguo za hema.
3
Makao yake ya juu aliyawekea misingi ya majini, huyatumia mawingu kuwa gari lake, juu ya mabawa ya upepo hujiendea.
4
Huwatumia malaika zake kuwa upepo, nao watumishi wake kuwa mioto iwakayo.
5
Aliishikiza nchi kwenye misingi yake, haitayumbayumba kale na kale;
6
ukaivika vilindi vya maji, kama ni nguo, nako vileleni kwenye milima juu kulikuwa na maji, nayo yalikuwa yametulia kuko huko.
7
Ulipoyakemea, yakakimbia, ulipoyapigia sauti za ngurumo, yakapiga mbio kujiendea.
8
Milima ikainukia kwendelea juu, mabonde yakatelemkia hapohapo, ulipoyatengenezea.
9
Ukakata mipaka, maji yasiipite, yasirudi tena kuifunika nchi.
10
Namo mabondeni ukatokeza chemchemi za maji, maji yapate kupita katikati ya milima.
11
Nyama wote wa porini wakapata ya kunywa hukomesha kiu humo akina punda milia.
12
Nao ndege wa angani hukaa kando ya maji, hupiga nyimbo zao wakikaa katika matawi ya miti.
13
Milima ukainywesha maji yatokayo juu, ukaishibisha nchi mapato ya kazi zako.
14
Ukachipuza majani, nyama wapate kula, nayo maboga, watu wayatumie; ndivyo, ulivyovitoa vilaji huku mchangani,
15
hata mvinyo zifurahishazo mioyo ya watu, nayo mafuta ya kuzing'aza nyuso zao, nayo mikate itiayo nguvu mioyoni mwa watu.
16
Hata miti ya Bwana hunywa, mpaka ishibe, kama miangati ya Libanoni, aliyoipanda yeye.
17
Ndimo, ndege wanamojenga viota vyao, nazo nyumba zao makorongo ziko katika mivinje.
18
Kwenye milima mikubwa ndiko, minde wanakokaa, magenge ni kimbilio lao wale pelele.
19
Uliumba mwezi wa kujulisha vilimo, jua hupajua pake pa kuchwea.
20
Ukaiweka nayo giza, usiku uwepo; ndipo, nyama wa porini wanapotembea wote,
21
wana wa simba hunguruma wakikosa nyama wa kukamata; ndivyo, wanavyomwuliza Mungu chakula chao.
22
Jua linapokucha, wale hurudi kwao mapangoni mwao, wapate kulala.
23
Kisha hutokea watu kwenda kazini, watumikie huko kazini mpaka jioni.
24
Uliyoyafanya, Bwana, ni makuu, tena ni mengi! Yote pia uliyafanya kwa ubingwa ulio wa kweli, hivyo nchi ikapata kijana viumbe vyako.
25
Hapo ni bahari iliyo kubwa na pana pande zote; humo ndimo, wanamofurika wadudu wasiohesabika kabisa, tena nyama wadogo nao wakubwa.
26
Humo zinapita nazo merikebu zenye mizigo, tena wamo nondo, uliowaumba wa kuchezea mle.
27
Hawa wote wanakuelekea wakikutazamia, uwape vilaji vyao, wanapoona njaa.
28
Ukiwapa, hukusanya, tena hulimbika, unapokifumbua kiganja chako, hushiba mema yako.
29
Ukiuficha uso wako, wataguiwa na kituko, ukiondoa pumzi zao, huzimia, kisha hurudi uvumbini.
30
Unapoituma pumzi yako, wanaumbwa, nao uso wa nchi huurudishia upya.
31
Utukufu wake Bwana ni wa kale na kale, naye Bwana huzifurahia kazi, alizozifanya.
32
Akiitazama nchi, inatetemeka; akiigusa milima, inatoka moshi.
33
Siku zangu zote za kuwapo nitamwimbia Bwana, nitampigia Mungu wangu shangwe nikingali nipo.
34
Nyimbo zangu, nilizozitunga, na zimpendeze! Mimi ninayemfurahia, ndiye Bwana.
35
Wakosaji sharti wamalizwe, wasiwepo nchini tean! Mtukuze Bwana, roho yangu! Haleluya!
← Chapter 103
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 105 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150