bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Psalms 73
Psalms 73
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 72
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 74 →
1
Kweli Mungu huwaendea Waisiraeli kwa kuwa mwema, ni wao wenye mioyo iliyong'aa
2
Lakini mimi ilikuwa imesalia kidogo, miguu yangu ingalijikwaa; hakuna tena iliyosalia, nyayo zangu zingaliteleza.
3
Kwani wenye majivuno naliwaonea wivu nilipowaona wasiomcha Mungu, wakikaa na kutengemana.
4
Kwa maana hawaoni maumivu ya kuwaua, tena miili yao hunenepa.
5
Katika masumbuko ya kimtu hao hawamo, wala mateso ya watu wengine hayawapati.
6
Urembo wao ndio majivuno, mavazi yao ya kujifunika ndio ukorofi.
7
Macho yao hujitokeza kwa kunona kwao nyuso, mawazo ya mioyo yao hufuliza kujikuza.
8
Kwa ukorofi wao mbaya husema na kufyoza, kila wanaposema hujikweza.
9
Maneno ya vinywa vyao huyawazia kuwa ya kimbinguni, lakini ndimi zao husema ya kiulimwenguni.
10
Kwa sababu hii watu wa kwao hurudi upande wao wakipenda kujinywesha maji yao mengi.
11
Husema mioyoni: Mungu anavitambuaje? Uko utambuzi kwake yeye Alioko huko juu?
12
Tazama, hivyo ndivyo, wasiomcha Mungu walivyo, ndivyo, wanavyojituliza kale na kale kwa kulimbika mali.
13
Ni bure kweli, nikiuangalia moyo wangu, uwe umetakata, nikiinawa mikono yangu kwa maji yaondoayo makosa?
14
Nikawa nimeteseka mchana kutwa, nayo mapatilizo yangu yalikuwa yako kila kulipokucha.
15
Kama ningaliwaza kwamba; nami niseme kama wao hao, kweli walio kizazi cha watoto wako ningaliwaacha, nikavunja agano.
16
Basi, nikayatia moyoni, niyatambua hayo; lakini nilipoyatazama, yakaniwia mazito,
17
mpaka nikapaingia Patakatifu pake Mungu; ndipo, nilipoyatambua kwa kutazama, jinsi mwisho wao ulivyo.
18
Kweli uliwaweka penye utelezi, ukawaangusha, wapondeke.
19
Kumbe mara wameangamia na kutoweka kabisa! Mwisho wao ukawa wa kuustukia.
20
Kama ndoto inavyoisha kwa kuamka, ndivyo, unavyozitowesha sura zao ukiwainukia.
21
Hapo, nilipoona uchungu moyoni mwangu, nayo mafigo yangu yaliponiumiza na kunichoma,
22
ndipo, mimi nilipokuwa jinga, nisijue kitu, nikawa machoni pako kama nyama.
23
*Lakini sasa nitaandamana na wewe pasipo kukoma, maana umenishika kuumeni kwangu,
24
ukaniongoza njia kwa shauri, ulilolipiga wewe, mwisho utanikaribisha huko, utukufu uliko.
25
Huko mbinguni yuko mwingine aliye mwenzangu? Sipendezwi tena na ulimwengu huu nikiwa pamoja nawe.
26
Ijapo, mwili wangu uzimie pamoja na moyo wangu, wewe Mungu u mwamba wa moyo wangu, tena u fungu langu la kale na kale.
27
Hii ni kweli: Wakukaliao mbali hupotea, unawaangamiza wote wanaokuacha kwa kuzifuata tamaa.
28
Lakini mimi naona kuwa vema, nikimkalia Mungu karibu. Bwana Mungu ninamtaka kuwa kimbilio langu, niwasimulie watu matendo yako yote.*
← Chapter 72
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 74 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150