bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Psalms 35
Psalms 35
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 36 →
1
Bwana, gombana nao wanigombezao! Pigana nao wanipiganishao!
2
Shika ngao na kingio! Inuka, unisaidie!
3
Chezesha mkuki, uwakinge wao wanikimbizao! Iambie roho yangu kwamba: Wokovu wako ni mimi.
4
Sharti watwezwe kwa kuumbuka waitafutao roho yangu, sharti warudi nyuma na kuinamisha vichwa waniwaziao vibaya;
5
sharti wawe kama makapi, yakipatwa na upepo, malaika wa Bwana akiwakumba, waanguke.
6
Njia yao sharti iwe yenye giza pamoja na utelezi, atakapowakimbiza malaika wa Bwana.
7
Kwani wamenitegea tanzi lao, linikamate, pasipo sababu yo yote, wakaichimbia roho yangu miina pasipo sababu yo yote.
8
Na uwajie mwangamizo wa kustusha, ambao walikuwa hawaujui, nalo tanzi lao, walilolitanda, liwakamate wao; huo mwangamizo wa kustusha ukiwapata, na waangushwe nao.
9
Ndipo, roho yangu itakapopiga vigelegele kwa kuwa na Bwana, na kuushangilia wokovu, iliouona.
10
Ndipo, itakaposema nayo mifupa yangu yote: Bwana, afananaye nawe yuko wapi? Unamponya mnyonge mkononi mwake yeye ampitaye nguvu, kweli huponya mnyonge na mkiwa mikononi mwao wamnyang'anyao.
11
Mashahidi wa ukorofi wananiinukia, wananiuliza mambo, nisiyoyajua.
12
Mema, niliyowatendea, wanayalipa na kunifanyizia mabaya, ukiwa wa kuwa peke yake uipate roho yangu.
13
Lakini vazi langu mimi lilikuwa gunia hapo, walipougua, nikajisumbua kwa kufunga na kwa kuwaombea na kujipiga kifua.
14
Niliwaendea, kama ni ndugu yangu, niliyempenda kweli, kama amwombolezeaye mama niliinamisha kichwa kwa kusikitika.
15
Lakini wao hulifurahia anguko langu wakikusanyika; kweli walikusanyika kwa ajili yangu mimi, nao nisiowajua wananitukana pasipo kukoma.
16
Kwao wenye ulafi wa matusi huyafyoza nayo ya Kimungu, kisha hukereza meno kwa ajili yangu mimi.
17
Bwana, utawatazama tu mpaka lini? Irudishe roho yangu uzimani, wasiimalize! Nitoe kwenye wana wa simba! Kwani niko peke yangu.
18
Kwa hiyo nitakushukuru, wengi wakutanikapo, na kukuimbia kwenye watu walio wenye nguvu.
19
Wapendao uwongo wasinifurahie, wala wasinitazame na jicho baya wanichukiao bure!
20
Kwani yawezayo kutupatanisha hawayasemi, nao walio watulivu katika nchi huwawazia mambo ya udanganyifu.
21
Wananiasamia sana vinywa vyao kwa kusema: Macho yetu yamekuona! Weye! Weye!
22
Bwana, umeyaona, usiyanyamazie! Usinikalie mbali, Bwana wangu!
23
Amka! Inuka, uniamulie! Mungu wangu na Bwana wangu, unigombee!
24
Niamulie kwa wongofu wako, Bwana Mungu wangu, wasinifurahie!
25
Wasiseme mioyoni mwao: Weye! Ndivyo vinavyotupendeza! Wala wasiseme: Tumemmeza!
26
Sharti watwezwe wakiumbuliwa wote pamoja waliofurahiwa na mabaya yaliyonipata, sharti wavikwe soni, nyuso ziwaive waliojikuza na kuninyenyekeza.
27
Lakini wao waliopendezwa na wongofu wangu sharti wapige vigelegele kwa kufurahiwa! Sharti waseme pasipo kukoma: Mkuu ni Bwana, mtumishi wake akikaa na kutengemana, hupendezwa.
28
Ulimi wangu sharti uusimulie wongofu wako, ukusifu wewe siku zote!
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 36 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150