bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Ezekiel 19
Ezekiel 19
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 20 →
1
Mungu aliniambia niimbe wimbo huu wa maombolezo juu ya wakubwa wa Waisraeli:
2
Mama yenu alikuwa simba mwenye utukufu kati ya simba wengine. Alikaa kati ya simba wakali, akawalisha watoto wake.
3
Alimulea mutoto mumoja kati ya watoto wake, mutoto huyo naye akakuwa simba mukali. Akajifunza toka kwa mama yake kuwinda, akakuwa simba mukula watu.
4
Mataifa yakatangaza habari ya hatari juu yake, wakamunasa katika mutego wao, wakamupeleka juu ya ndoana mpaka Misri.
5
Mama yake alipoona kwamba amechoka kungoja, matumaini ya kumupata yakakwisha, akamutwaa mutoto wake mwingine, akamufanya simba mukali.
6
Huyo alipokuwa amekwisha kukomaa, akaanza kutembea pamoja na simba wengine. Naye vilevile akajifunza kuwinda, akakuwa simba mukula watu.
7
Alishambulia nyumba za watu na kuiharibu miji yao. Inchi pamoja na wakaaji wake viliogopa, kwa sauti ya kunguruma kwake.
8
Mataifa yakamushambulia kutoka pande zote, wakatandaza wavu wao juu yake, naye akanaswa katika mutego wao.
9
Kwa ndoana wakamutia katika kizimba chao, wakamupeleka kwa mufalme wa Babeli. Kule, wakamutia katika kifungo, kusudi ngurumo yake isisikilike tena juu ya milima ya Waisraeli.
10
Mama yako alikuwa kama muzabibu katika shamba, uliopandikizwa pembeni ya maji, ambao ulizaa sana kwa kuwa na maji mengi.
11
Ulikuwa na matawi yenye nguvu, ambayo yalikuwa fimbo za kifalme. Muzabibu huo ulikomaa kupita miti mingine, watu walisifu ukubwa wa shina lake na wingi wa matawi yake.
12
Lakini uliongolewa kwa hasira, ukatupwa chini juu ya udongo; upepo mukali wa mashariki ukaukausha, matunda yake yakaanguka; matawi yake yenye nguvu yalikauka, nao moto ukauteketeza.
13
Na sasa umepandikizwa katika jangwa, katika inchi yenye kukauka isiyokuwa na maji.
14
Lakini moto umetoka kwenye shina lake, ukayateketeza matawi na matunda yake. Matawi yake hayatakuwa na nguvu hata kidogo, wala hayatakuwa fimbo za kifalme. Huo umekuwa wimbo wa maombolezo; ndivyo unavyoimbwa siku zote.
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 20 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48