bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
/
Ezekiel 45
Ezekiel 45
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
← Chapter 44
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 46 →
1
Mutakapoigawanya inchi kwa kupiga kura kusudi kila kabila lipate sehemu yake, sehemu moja ya inchi ni lazima itakaswe kwa ajili ya Yawe. Urefu wake utakuwa kilometre kumi na mbili na nusu na upana kilometre kumi. Eneo hilo lote litakuwa takatifu.
2
Ndani yake kutakuwa eneo muraba kwa ajili ya patakatifu, kila upande metre mia mbili makumi tano, na litazungukwa na eneo wazi lenye upana wa metre mia mbili makumi tano.
3
Katika eneo hilo utapima vilevile sehemu yenye urefu wa kilometre kumi na mbili na nusu kwa kilometre tano; humo kutakuwa hekalu langu, Pahali Patakatifu Sana.
4
Eneo hilo litakuwa takatifu katika inchi, na kutengwa kwa ajili ya makuhani wanaomutumikia Yawe katika hekalu lake. Ndani ya eneo hilo kutakuwa nyumba zao na nafasi iliyotakaswa kwa ajili ya hekalu langu.
5
Eneo lingine lenye urefu wa kilometre kumi na mbili na nusu kwa kilometre tano, litatengwa kwa ajili ya miji ya Walawi wanaotumika katika hekalu likuwe urizi wao.
6
Mutapima eneo la muji karibu na eneo takatifu, lenye urefu wa kilometre kumi na mbili na nusu kwa kilometre mbili na nusu. Hilo litakuwa kwa ajili ya mutu yeyote wa Israeli.
7
Mukubwa, naye atapewa eneo lake upande wa mashariki na magaribi wa eneo lililotakaswa kwa ajili ya Yawe. Eneo hilo litaenea tangia upande wa magaribi mpaka kwenye bahari ya Mediteranea na upande wa mashariki mpaka upande wa mashariki wa inchi. Litakuwa na urefu sawa na eneo lililopewa kwa kila kabila la Waisraeli.
8
Huo ndio urizi wa mufalme katika Israeli. Hivyo mufalme hatawatesa watu wangu, lakini ataacha inchi igawanywe kwa Waisraeli kulingana na makabila ya Israeli.
9
Bwana wetu Yawe anasema hivi: Ninyi wakubwa wa Waisraeli, mumefanya zambi vyakutosha. Muache kutesa watu kwa ukali. Muimarishe sheria yangu na haki. Muache kuwafukuza watu wangu katika inchi. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.–
10
Kila mutu anapaswa kutumia mizani na vipimo vya haki.
11
Kwa kipimo cha ulinganifu: efa kwa unga na bati kwa mafuta zina kipimo sawasawa. Hivyo viwili ni sehemu moja ya kumi ya homeri moja.
12
Kwa kupima uzito: gera makumi mbili ni shekeli moja, shekeli makumi tano ni mina moja.
13
Vipimo vya matoleo yenu ya vyakula vitakuwa hivi: sehemu moja ya sita ya efa katika homeri moja ya ngano, na moja ya sita ya efa katika homeri moja ya shayiri.
14
Kiwango cha mafuta kitakuwa hivi: sehemu moja ya bati ya mafuta kutoka kila kori (kori moja ni sawa na homeri moja ambayo ni sawa na bati kumi).
15
Watatoa kondoo mumoja kwa kila kundi la kondoo mia mbili katika jamaa za Waisraeli. Wataleta sadaka za vyakula, sadaka za kuteketezwa kwa moto, na sadaka za amani, kusudi wapate kufanyiwa upatanisho. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.–
16
Watu wote wa inchi watamupatia mufalme wa Waisraeli sadaka hizo.
17
Itakuwa ni mapaswa ya mufalme kuhakikisha kuwa sadaka za kuteketezwa, sadaka za vyakula na sadaka za kinywaji zinazotolewa wakati wa sikukuu ya mwandamo wa mwezi, Sabato, na sikukuu zozote zilizowekwa kwa Waisraeli, zinapatikana. Mufalme yeye mwenyewe atatayarisha sadaka za kusamehewa zambi, sadaka za vyakula, sadaka za kuteketezwa kwa moto, na sadaka za amani kwa kuwafanyia watu wote wa Israeli upatanisho.
18
Bwana wetu Yawe anasema hivi: Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, mutatoa sadaka ya mwana-ngombe dume asiyekuwa na kilema kwa kutakasa hekalu langu.
19
Kuhani atatwaa sehemu ya damu ya sadaka ya kusamehewa zambi na kuipaka kwenye miimo ya nyumba ya Yawe, pembe za mazabahu, na miimo ya nafasi ya kuingilia kwenye kiwanja cha ndani.
20
Atafanya vile vile siku ya saba ya mwezi huo, kwa ajili ya kila mutu aliyetenda zambi bila kukusudia au kwa kutokujua. Kwa njia hiyo mutaitakasa nyumba ya Yawe.
21
Siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza, mutafanya sikukuu ya Pasaka. Kwa muda wa siku saba, mutakula mikate isiyotiwa chachu.
22
Siku hiyo, mufalme atatoa ngombe dume mumoja kwa ajili ya sadaka ya kusamehewa zambi kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu wote wa Israeli.
23
Kila siku, katika muda huo wa siku saba, atamutolea Yawe sadaka ya ngombe dume saba na kondoo dume saba wasiokuwa na kilema kwa kuwateketeza kwa moto. Tena ni lazima atoe sadaka kila siku kuwa sadaka ya kusamehewa zambi.
24
Kisha atatengeneza sadaka ya unga kilo kumi kwa kila ngombe dume na kilo kumi kwa kila kondoo dume, halafu litre tatu za mafuta kwa kila kilo kumi za unga.
25
Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, na kwa muda wa siku saba za sikukuu, mufalme atatoa mahitaji kwa ajili ya sadaka za kusamehewa zambi, sadaka za kuteketezwa kwa moto, sadaka za vyakula na mafuta.
← Chapter 44
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 46 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48