bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Matthew 4
Matthew 4
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 5 →
1
Kisha Yesu akapelekwa na Roho nyikani, ajaribiwe na Msengenyaji.
2
Akafunga siku 40 mchana na usiku, kisha akaona njaa.
3
Mjaribu akamjia, akamwambia: Kama ndiwe Mwana wa Mungu, yaambie mawe haya, yawe chakula!
4
Naye akamjibu: Imeandikwa: Mtu hataishi kwa chakula tu, ila kwa kila neno linalotoka kinywani mwa Mungu.
5
Kisha Msengenyaji akampeleka katika mji mtakatifu, akamsimamisha juu pembeni hapo Patakatifu,
6
akamwambia: Kama ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini! Kwani imeandikwa: Atakuagizia malaika zake, nao wakakuchukua mikononi mwao usije kujikwaa mguu wako katika jiwe.
7
Yesu akamwambia: Tena imeandikwa: Usimjaribu Bwana Mungu wako!
8
Kisha Msengenyaji akampeleka, akampandisha mlima mrefu sana, akamwonyesha ufalme wote pia wa ulimwengu huu na utukufu wake,
9
akamwambia: Haya yote nitakupa, ukiniangukia na kuninyenyekea.
10
Hapo Yesu akamwambia: Nenda zako, Satani! Kwani imeandikwa: Umwangukie Bwana Mungu wako na kumtumikia peke yake!
11
Ndipo, Msengenyaji alipomwacha. Mara malaika wakaja, wakamtumikia.*
12
Yesu aliposikia, ya kwamba Yohana amefungwa, akaondoka akaenda mpaka Galilea.
13
Akahama Nasareti, akaenda kukaa Kapernaumu ulioko pwani mipakani kwa Zebuluni na Nafutali,
14
kusudi neno, mfumbuaji Yesaya alilolisema, lipate kutimizwa:
15
Nchi ya Zebuluni na nchi ya Nafutali zilizoko upande wa pwani na ng'ambo ya Yordani, Galilea ya wamizimu iliko,
16
huko watu waliokaa gizani wameona mwanga mkuu, waliokaa penye kivuli kuacho mwanga umemulika juu yao.
17
Tangu hapo ndipo, Yesu alipoanzia kupiga mbiu akisema: Juteni! Kwani ufalme wa mbingu umekaribia.
18
Basi, Yesu alipokuwa akitembea kandokando ya bahari ya Galilea akaona watu wawili waliokuwa ndugu, ni Simoni aitwaye Petero na nduguye, Anderea. Aliwaona, wakitupa nyavu zao baharini, kwani walikuwa wavuvi.
19
Akawaambia: Njoni, mnifuate! Nami nitawafanya kuwa wavua watu.
20
Papo hapo wakaziacha nyavu, wakamfuata.
21
Alipoendelea mbele, akaona wengine wawili walikuwa ndugu, ni Yakobo wa Zebedeo na nduguye, Yohana. Aliwaona pamoja na baba yao Zebedeo chomboni, wakizitengeneza nyavu zao, akawaita.
22
Papo hapo wakakiacha chombo na baba yao, wakamfuata.
23
Yesu akazunguka katika nchi yote ya Galilea, akawafundisha katika nyumba zao za kuombea, akautangaza Utume mwema wa ufalme na kuwaponya watu wote waliokuwa wagonjwa na wanyonge.
24
Uvumi wake ukaienea nchi yote ya Ushami. Wakampelekea wote walikuwa hawawezi, walioshikwa na magonjwa na maumivu yo yote, nao wote waliokuwa wenye pepo na wenye kifafa na wenye kupooza, naye akawaponya.
25
Wakamfuata makundi mengi ya watu waliotoka Galilea na upande wa ile Miji Kumi na Yerusalemu na Yudea na ng'ambo ya Yordani.
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 5 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28