bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
2 Chronicles 17
2 Chronicles 17
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 18 →
1
Mwanawe Yosafati akawa mfalme mahali pake, akajipatia nguvu za kuwatawala Waisiraeli.
2
Akaweka vikosi vya askari katika miji yote ya Yuda iliyokuwa na maboma, kisha akaweka wenye amri katika nchi ya Yuda, namo katika miji ya Efuraimu, baba yake Asa aliyoiteka.
3
Bwana akawa naye Yosafati, kwani aliendelea katika njia ya kwanza ya babu yake Dawidi, asiitafute miungu ya Baali,
4
ila alimtafuta Mungu wa baba yake, akaendelea na kuyashika maagizo yake, asifanye matendo ya Waisiraeli.
5
Kwa hiyo Bwana akaushupaza ufalme wake mkononi mwake, Wayuda wote wakampa Yosafati matunzo, akapata mali na macheo mengi.
6
Kwa kuzishika njia za Bwana moyo wake ukawa mkuu, kisha akayaondoa matambiko ya vilimani na miti ya Ashera katika nchi ya Yuda.
7
Katika mwaka wa tatu wa ufalme wake akatuma watu wake Benihaili na Obadia na Zakaria na Netaneli na Mikaya, waende kufundisha watu katika miji ya Yuda;
8
pamoja nao walikuwa Walawi Semaya na Netania na Zebadia na Asaheli na Semiramoti na Yonatani na Adonia na Tobia na Tobu-Adonia; pamoja nao hawa Walawi walikuwa watambikaji Elisama na Yoramu.
9
Wakawafundisha watu katika nchi ya Yuda wakikishika kitabu cha Maonyo ya Bwana, wakazunguka katika miji yote ya Yuda na kufundisha watu.
10
Stusho la Bwana likaziguia nchi zote zenye wafalme zilizoizunguka nchi ya Yuda, wasipigane na Yosafati.
11
Kwao Wafilisti wakatoka wajumbe, wakamletea Yosafati matunzo na fedha, walizozichanga, Waarabu nao wakamletea mbuzi na kondoo, madume ya kondoo walikuwa 7700, hata madume ya mbuzi 7700.
12
Ndivyo, Yosafati alivyoendelea kuwa mkuu zaidi, akajenga katika nchi ya Yuda ngome na miji yenye vilimbiko.
13
Akawa na mapato mengi mle mijini mwa Yuda, namo Yerusalemu akawa na watu wa kupiga vita waliokuwa mafundi wenye nguvu.
14
Wakijipanga kwa milango ya baba zao, ikawa hivyo: Wayuda walikuwa na wakuu wa maelfu, mkuu mwenyewe ni Adina, pamoja naye wakawa mafundi wa vita wenye nguvu 300000.
15
Wa pili ni mkuu Yohana, pamoja naye wakawa watu 280000.
16
Akafuatwa na Amasia, mwana wa Zikiri, aliyejitoa mwenyewe kuwa mtu wa Bwana, pamoja naye wakawa mafundi wa vita wenye nguvu 200000.
17
Kwao Wabenyamini Eliada alikuwa fundi wa vita mwenye nguvu, pamoja naye wakawa watu 200000 waliochukua pindi na ngao.
18
Wa pili alikuwa Yozabadi, pamoja naye wakawa watu 180000 wenye mata ya vita.
19
Hawa ndio waliomtumikia mfalme kuliko wale, mfalme aliowaweka katika miji yenye maboma katika nchi yote ya Yuda.
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 18 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36