bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
2 Chronicles 19
2 Chronicles 19
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 20 →
1
Yosafati, mfalme wa Wayuda, aliporudi nyumbani kwake kutengemania Yerusalemu,
2
Yehu, mwana wa Hanani, aliyekuwa mchunguzaji akamtokea, akamwambia mfalme Yosafati: Inakuwaje, ukipenda kumsaidia asiyemcha Mungu, nao wanaomchukia Bwana? Kwa sababu hii makali yatokayo kwake Bwana yanakukalia.
3
Lakini tena yako mema yaliyoonekana kwako, kwani umevitowesha vinyago vya Ashera katika nchi hii, ukauelekeza moyo wako kumtafuta Mungu.
4
Yosafati alipokaa Yerusalemu kidogo, akatoka tena kwenda kwa watu, akawaanzia wa Beri-Seba, hata awafikie wa milimani kwa Efuraimu, akawarudisha kwake Bwana Mungu wa baba zao.
5
Akaweka waamuzi katika nchi hii katika miji yote ya Yuda iliyokuwa yenye maboma, mji kwa mji,
6
akawaambia waamuzi: yaangalieni mtakayoyafanya! Kwani sio watu, mnaowafanyia kazi ya uamuzi, ila Bwana, naye yuko pamoja nanyi, mnapokata mashauri.
7
Kwa sababu hii tisho la Bwana na liwakalie, mzifanye kazi zenu na kujiangalia! Kwani kwake Bwana hakuna wala upotovu, wala upendeleo, wala upenyezi.
8
Namo Yerusalemu Yosafati akaweka Walawi wengine na watambikaji, hata wakuu wengine wa milango ya Isiraeli kumfanyizia Bwana kazi ya uamuzi na kuwagombea watu. Waliporudi Yerusalemu,
9
akawaagiza kwamba: Haya myafanye kwa kumwogopa Bwana na kwa welekevu na kwa mioyo yote!
10
Katika magomvi yote yatakayoletwa kwenu na ndugu zenu wanaokaa katika miji yao, kama ni kugombeana damu zilizomwagwa au maonyo na maagizo au maongozi na maamuzi, mtawafundisha, wasimkosee Bwana, makali yakawajia ninyi nao walio ndugu zenu. Fanyeni hivyo, msikore manza!
11
Tazameni, mtambikaji mkuu Amaria atawaongoza katika mambo yote ya Bwana, naye Zebadia, mwana wa Isimaeli, mwenye amri wa mlango wa Yuda, atawaongoza katika mambo yote ya mfalme, nao Walawi wako mbele yenu kuwasimamia watu. Jipeni mioyo, kafanyeni hivyo! Ndipo, Bwana atakapokuwa nao wale walio wema.
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 20 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36