bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Exodus 11
Exodus 11
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 10
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 12 →
1
Bwana akamwambia Mose: Liko pigo moja bado, nitakalompatia Farao nao Wamisri, baadaye atawapa ninyi ruhusa kutoka huku; naye hapo, atakapowapa ruhusa kwenda zenu na mali zenu zote, atawakimbiza ninyi kabisa kuondoka huku.
2
Kwa hiyo sema masikioni mwa watu hawa, waombe vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu kila mtu kwa mwenziwe, hata kila mwanamke kwa mwenziwe.
3
Bwana atawapatia hawa watu upendeleo machoni pao Wamisri, maana huyo Mose alikuwa mkubwa sana katika nchi ya Misri machoni pao watumishi wa Farao napo machoni pa watu.
4
Mose akasema: Hivi ndivyo, anavyosema Bwana: Usiku wa manane nitatokea katikati ya nchi ya Misri;
5
ndipo, kila mwana wa kwanza atakapokufa katika nchi ya Misri, kuanzia mwana wa kwanza wa Farao anayekaa katika kiti chake cha kifalme, kuishia mwana wa kwanza wa kijakazi anayekaa penye mawe ya kusagia, hata kila mwana wa kwanza wa nyama wa kufuga.
6
Ndipo, maombolezo yatakapokuwa makuu katika nchi yote ya Misri yasiyokuwa bado siku zilizopita, wala hayatakuwa kama hayo siku zijazo.
7
Lakini kwa wana wote wa Isiraeli mbwa tu hatakemea wala mtu wala nyama, kusudi mpate kujua, ya kuwa Bwana huwapambanua Wamisri na Waisiraeli.
8
Ndipo, hawa watumishi wako wote watakapotelemka, waje kwangu na kuniangukia kwamba: Toka wewe na hawa watu wote wanaozifuata nyayo zako! Ndipo, nitakapotoka. Kisha Mose akatoka kwake Farao kwa kuwa na ukali uliowaka moto.
9
Kisha Bwana akamwambia Mose: Farao hatawasikia ninyi, kusudi vifanyike vioja vyangu vingi katika nchi ya Misri.
10
Nao Mose na Haroni walipovifanya hivyo mbele ya Farao, Bwana akaushupaza moyo wa Farao, asiwape wana wa Isiraeli ruhusa kutoka katika nchi yake.
← Chapter 10
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 12 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40