bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Exodus 5
Exodus 5
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 6 →
1
Baadaye Mose na Haroni wakaenda, wakamwambia Farao: Hivi ndivyo, anavyosema Bwana Mungu wa Isiraeli: Hawa watu walio ukoo wangu wape ruhusa kwenda kunifanyizia sikukuu nyikani!
2
Lakini Farao akasema: Bwana ni nani, nimsikie sauti yake na kuwapa Waisiraeli ruhusa kwenda? Simjui Bwana, wala sitawapa Waisiraeli ruhusa kwenda.
3
Nao wakasema: Mungu wa Waebureo amekutana nasi, kwa hiyo tunataka kwenda nyikani safari ya siku tatu, tumtambikie Bwana Mungu wetu, asitupige kwa magonjwa yauayo wala kwa upanga.
4
Lakini mfalme wa Misri akawaambia: Mbona ninyi Mose na Haroni mnataka kuwatoa tu watu hawa katika kazi zao? Nendeni kuzifanya hizo kazi zenu ngumu!
5
Tena Farao akasema: Tazameni, jinsi watu hawa wa nchi hii walivyo wengi sasa! Nanyi mwataka kuwapumzisha, wasizifanye kazi zao ngumu.
6
Siku ile Farao akawaagiza wale wasimamizi wakali wa hao watu nao waangaliaji wao kwamba:
7
Watu hawa msiwape tena majani makavu ya kuumbia matofali kama siku zote! Sharti waende wenyewe kujiokotea majani makavu.
8
Lakini hesabu ya matofali, waliyoyafanya siku zote, sharti mwabandikie iyo hiyo, msiipunguguze! Kwani ndio walegevu, kwa hiyo hupiga kelele kwamba: Twende kumtambikia Mungu wetu!
9
Kazi za utumwa sharti ziwalemee zaidi watu hawa, wakizifanya, wasitazamie maneno ya uwongo.
10
Ndipo, wasimamizi wale wakali wa watu hao na waangaliaji wao walipowaambia watu kwamba: Hakuna tena atakayewapa ninyi majani makavu;
11
nendeni wenyewe kujiokotea majani makavu po pote, mtakapoyaona! Lakini agano la kazi zenu halipunguki.
12
Ndipo, watu hao walipotawanyika katika nchi nzima ya Misri kuokota majani makavu ya kuumbia matofali.
13
Nao wasimamizi wakawahimiza kwa ukali wao kwamba: Zimalizeni kazi zenu za kuitimiza hesabu yao ya siku zote kama hapo, mlipopewa majani makavu!
14
Nao waangaliaji wana wana wa Isiraeli, wale wasimamizi wakali wa Farao waliowawekea, wakapigwa kwa kwamba: Mbona hamkulitimiza jana na leo agano lenu la matofali la siku zote?
15
Ndipo, waangaliaji wa wana wa Isiraeli walipokuja, wakamlilia Farao kwamba; Mbona unawafanyizia watumwa wako hivyo?
16
Majani makavu watumwa wako hawapewi, lakini wanatuambia: Fanyeni matofali yayo hayo! Nasi watumwa wako tunapigwa, lakini wenye kukosa ni watu wako.
17
Lakini akasema: Ninyi m walegevu, m walegevu kweli. Kawa sababu hii mnasema: Twende, tumtambikie Bwana!
18
Sasa haya! Nendeni kuzifanya kazi zenu! Majani makavu hamtapewa, ila hesabu ya matofali iliyowekwa sharti mwitoe!
19
Nao waangaliaji wa wana wa Isiraeli wakajiona, ya kuwa wamepatwa na mabaya kwa kuambiwa: Msiipunguze hesabu ya matofali ya siku zote!
20
Walipotoka kwake Farao, wakamkuta Mose na Haroni waliosimama hapo na kuwangoja.
21
Ndipo, walipowaambia: Bwana na awatazame ninyi, mlivyo, awapatilize! Kwani mmeufanya mnuko wetu kuwa mbaya puani mwake Farao namo puani mwao watumishi wake, mkawapa panga mikononi mwao, watuue.
22
Naye Mose akamrudia Bwana na kusema: Bwana, kwa nini unawafanyia watu hawa mabaya kama hayo? Ndiyo haya, uliyonituma?
23
Kwani tangu hapo, nilipoingia kwake Farao kusema naye katika Jina lako, amezidi kuwafanyizia watu hawa mabaya, wewe nawe hukuwaponya kabisa wao walio ukoo wako.
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 6 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40