bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Numbers 12
Numbers 12
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 11
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 13 →
1
Miriamu na Haroni wakamteta Mose kwa ajili ya mke wa Kinubi, aliyemwoa; kwani Mose alioa mwanamke wa Kinubi.
2
Wakasema: Je? Bwana alisema na Mose peke yake tu? Hakusema na sisi nasi? Naye Bwana akayasikia.
3
Lakini Mose alikuwa mtu mpole sana kuliko watu wote walioko huku nchini.
4
Mara Bwana akamwambia Mose, nao Haroni na Miriamu: Tokeni ninyi watatu, mfike penye Hema la Mkutano! Ndipo, walipotoka wao watatu.
5
Bwana akashuka katika lile wingu lililokuwa kama nguzo, akasimama hapo pa kuliingilia Hema, akamwita Haroni na Miriamu, nao wakatokea wote wawili.
6
Akasema: Yasikieni maneno yangu! kama kwenu yuko mfumbuaji, mimi Bwana nitajijulisha kwake kwa maono, niseme naye kwa ndoto.
7
Lakini vya mtumishi wangu Mose sivyo vilivyo, kwani yeye ni mwelekevu katika nyumba yangu yote nzima.
8
Nasema naye kinywa kwa kinywa, naye huniona mimi Bwana, nilivyo, haoni kivulivuli tu au mfano tu; kwa nini ninyi hamkuogopa kuteta na mtumishi wangu Mose?
9
Makali ya Bwana yakawawakia, naye akaenda zake,
10
nalo wingu likaondoka juu ya Hema; walipotazama, Miriamu alikuwa mwenye ukoma uliokuwa mweupe kama chokaa juani. Haroni naye alipomgeukia Miriamu akamwona, ya kuwa ni mwenye ukoma.
11
Ndipo, Haroni alipomwambia Mose: E Bwana wangu, usitutwike hilo kosa letu, tulilolikosa kwa upumbavu!
12
Huyu umbu letu asiwe kama mfu aliyekwisha kuliwa nusu ya nyama za mwili wake hapo, alipotoka tumboni mwa mama yake.
13
Mose akamlilia Bwana kwamba: E Mungu, ninakuomba sana, umponye.
14
Bwana akamwambia Mose: Kama baba yake angalimtemea mate usoni pake, hangaliona soni siku saba? Na afungiwe siku saba nje ya makambi, baadaye na arudishwe tena.
15
Kwa hiyo Miriamu akafungiwa nje ya makambi siku saba, nao watu hawakuondoka kwenda safari yao, mpaka Miriamu akarudishwa.
16
Kisha watu wakaondoka Haseroti kwenda safari yao, wakapiga makambi katika nyika ya Parani.
← Chapter 11
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 13 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36