bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Numbers 36
Numbers 36
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 35
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
1
Wakuu wa milango ya ndugu za wana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, wa ndugu zao wana wa Yosefu, wakamkaribia Mose, wakasema mbele yake na mbele yao wakuu waliokuwa baba za milango ya wana wa Isiraeli,
2
wakawaambia: Bwana amekuagiza wewe, bwana wetu, kuwapa wana wa Isiraeli nchi hiyo na kuwapigia kura, wapate mafungu ya nchi kuwa yao; nawe bwana wetu, umeagizwa na Bwana kuwapa wana wa kike wa ndugu yetu Selofuhadi fungu lake.
3
Itakapotukia, mmoja miongoni mwa wana wa mashina mengine ya wana wa Isiraeli awaoe, ndipo, fungu lao litakapotoweka katika mafungu ya baba zetu, litiwe katika mafungu ya shina jingine litakalokuwa lao, wakiisha kuolewa; hivyo ndivyo, mafungu, tuliyoyapata kwa kupigiwa kura kuwa yetu, yatakavyopunguzwa.
4
Nao mwaka wa shangwe utakapotimia kwa wana wa Isiraeli, fungu lao litatiwa vivyo hivyo katika mafungu ya shina jingine litakalokuwa lao kwa kuolewa kwao; ndivyo, hilo fungu lao litakavyotoweka katika mafungu ya shina la baba zetu.
5
Ndipo, Mose alipowaagiza wana wa Isiraeli kwa kuagizwa na Bwana kwamba: Hayo, wao wa shina la wana wa Yosefu waliyoyasema, ni ya kweli.
6
Hili ndilo neno, Bwana analowaagiza wana wa kike wa Selofuhadi kwamba: Mtu, watakayemwona kuwa mwema, wataolewa naye, lakini watakayeolewa naye sharti awe mtu wa ndugu za shina la baba yao.
7
Ni kwa kwamba mafungu yao wana wa Isiraeli yasiondolewe katika shina moja na kutiwa katika shina jingine, ila wana wa Isiraeli sharti wagandamane kila mmoja na mafungu yaliyo ya shina la baba zao.
8
Wana wa kike wote walio wenye fungu la nchi ya mashina ya wana wa Isiraeli sharti waolewe na mtu aliye wa ndugu za shina la baba yao, kusudi wana wa Isiraeli washike kila mmoja fungu lake la nchi, alilolipata kwa baba zake, liwe lake,
9
kusudi mafungu ya nchi yasiondolewe katika shina moja na kutiwa katika shina jingine, ila mashina ya wana wa Isiraeli sharti wagandamane, kila mmoja akae katika fungu lake.
10
Kama Bwana alivyomwagiza Mose, ndivyo, wana wa kike wa Selofuhadi walivyofanya.
11
Hao Mala, Tirsa na Hogla na Milka na Noa, wale wana wa kike wa Selofuhadi, wakaolewa na wana wa ndugu za baba yao.
12
Wao waliookuwa ndugu zao wana wa Manase, mwana wa Yosefu, ndio waliolewa nao; kwa hiyo fungu lao likakaa kwake shina la ndugu za baba yao.
13
Haya ndiyo maagizo na maamuzi, Bwana aliyowaagiza wana wa Isiraeli kinywani mwa Mose kwenye mbuga za Moabu ng'ambo ya huku ya Yordani, Yeriko ukiwa ng'ambo ya pili.
← Chapter 35
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36