bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Numbers 25
Numbers 25
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 24
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 26 →
1
Waisiraeli walipokaa Sitimu, watu wakaanza kufanya ugoni na wanawake wa Kimoabu.
2
Nao walipowaalikia matambiko ya miungu yao, nao hao watu wakala nyama za tambiko, hata miungu yao wakaiangukia.
3
Lakini Waisiraeli walipojiunganisha hivyo na Baali-Peori, ndipo, makali ya Bwana yalipowawakia Waisiraeli.
4
Kwa hiyo Bwana akamwambia Mose: Wachukue wakuu wote wa watu hawa, uwanyonge juani mbele ya Bwana, haya makali ya Bwana yawakayo moto yapate kupoa na kuwaondokea Waisiraeli.
5
Naye Mose akawaambia waamuzi wa Waisiraeli: Waueni kila mtu watu wake waliojiunganisha na Baali-Peori!
6
Papo hapo akaja mmoja wao wana wa Isiraeli, akapeleka kwa ndugu zake mwanamke wa Kimidiani machoni pake Mose napo machoni pao mkutano wote wa wana wa Isiraeli, hawa walipokuwa wakilia hapo pa kuliingilia Hema la Mkutano.
7
Pinehasi, mwana wa Elazari, mwana wa mtambikaji Haroni, alipoyaona akaondoka katikati ya mkutano, akachukua mkuki mkononi mwake,
8
akamfuata yule mtu wa Kiisiraeli na kuingia chumbani, walimolala, akawachoma wote wawili tumboni, yule mtu wa Kiisiraeli na huyo mwanamke; ndipo, pigo lilipokomeshwa kwao wana wa Isiraeli.
9
Nao waliouawa na hilo pigo walikuwa watu 24000.
10
Kisha Bwana akamwambia Mose kwamba:
11
Pinehasi, mwana wa Elazari, mwana wa mtambikaji Haroni, ameyarudisha nyuma machafuko yangu makali, yawaondokee wana wa Isiraeli; kwani wivu, niliokuwa nao, uo huo ameuona naye katikati yao, kwa hiyo sikuwamaliza wana wa Isiraeli kwa wivu wangu.
12
Kwa sababu hii umwambie: Vivi hivi ninamwekea agano la kumpatia utengemano.
13
Yeye nao wa uzao wake watakaokuwako nyuma yake watakuwa wenye agano la utambikaji wa kale na kale, kwa kuwa aliona wivu kwa ajili ya Mungu wake, akawapatia wana wa Isiraeli upozi.
14
Jina lake yule Mwisiraeli aliyekufa kwa kuuawa pamoja na yule mwanamke wa Kimidiani alikuwa Zimuri, mwana wa Salu, naye alikuwa mkuu wa mlango wa baba yake kwao Wasimeoni.
15
Nalo jina lake yule mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa alikuwa Kozibi, binti Suri aliyekuwa mkuu wa ukoo wa milango ya baba yake kwao Wamidiani.
16
Kisha Bwana akamwambia Mose kwamba:
17
Wainukieni Wamidiani, mwapige!
18
Kwani ndio wanaowachukia ninyi kwa madanganyo yao walipowadanganya na matambiko ya Baali-Peori, tena wamewadanganya na kuwapa ndugu yao mke, yule Kozibi, binti mkuu wa Wamidiani, ni yule aliyeuawa siku hiyo, pigo lilipowapata kwa ajili ya Peori.
← Chapter 24
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 26 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36