bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Numbers 17
Numbers 17
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 18 →
1
Bwana akamwambia Mose kwamba:
2
Sema na wana wa Isiraeli, uchukue kwao fimbo, kwa kila mlango wa baba fimbo moja, wao wakuu wote wa milango ya baba zao wakupe fimbo 12, nawe uandike kila fimbo jina la mwenyewe.
3
Nalo jina la Haroni uliandike katika fimbo ya Lawi, kwani kila fimbo moja iwe ya kichwa cha mlango wa baba zao.
4
Kisha uziweke Hemani mwa Mkutano chini mbele ya Sanduku la Ushahidi hapo, ninapokutana nanyi.
5
Ndipo, fimbo yake yeye, niliyemchagua, itakapochipuka, niyakomeshe manung'uniko ya wana wa Isiraeli, wanayowanung'unikia ninyi, yasifike tena kwangu.
6
Mose akayaambia wana wa Isiraeli; ndipo, wakuu wao wote walipompa fimbo, kila mtu mmoja fimbo moja ya mlango wa baba zao, zikawa fimbo 12, nayo fimbo ya Haroni ilikuwa katikati yao.
7
Mose akaziweka hizi fimbo mbele ya Bwana Hemani mwa Ushahidi.
8
Ikawa, Mose alipoliingia Hema la Ushahidi kesho yake, akaiona fimbo yake Haroni ya mlango wa Lawi, ilikuwa imechipuka, ikachanua maua, ikazaa malozi.
9
Ndipo, Mose alipozitoa hizo fimbo zote mbele ya Bwana, akazipelekea wana wa Isiraeli, nao walipoziona wakachukua kila mtu fimbo yake.
10
Kisha Bwana akamwambia Mose: Irudishe fimbo ya Haroni hapo mbele ya Sanduku la Ushahidi, iwekwe kuwa kielekezo chao hawa wana wakatavu, manung'uniko yao yakome, yasifike tena kwangu, wao wasife.
11
Mose akavifanya; kama Bwana alivyomwagiza, ndivyo livyovifanya.
12
Kisha wana wa Isiraeli wakamwambia Mose kwamba: Tazama, tunakufa, tunaangamia, kweli sisi sote tunaangamia.
13
Kila alifikiaye Kao la Bwana, kweli kila alifikiaye karibu hufa; je? hivi hatutakwisha kufa sote? 4 Mose. 16:40.
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 18 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36