bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 12
Ezekiel 12
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 11
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 13 →
1
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
2
Mwana wa mtu unakaa katikati ya mlango mkatavu, wako na macho yaonayo, lakini hawaoni, wako na masikio yasikiayo, lakini hawasikii, kwani hawa ndio mlango mkatavu.
3
Basi, wewe mwana wa mtu, jifanyizie vyombo vya kuhama navyo! Kisha hama mchana machoni pao, ukuhama mahali pako na kuhamia pengine machoni pao, labda wataona, ya kuwa ndio mlango mkatavu.
4
Navyo vyombo vyako utavitoa nyumbani mchana machoni pao, kama ni vyombo vya kuhama navyo, nawe utatoka nyumbani jioni machoni pao, kama watu wanavyotoka mwao wakitaka kuhama.
5
Machoni pao bomoa bomani kwa mji, pawe tundu, ndipo uvitolee vyombo vyako!
6
Machoni pao uviweke begani, uvitoe, giza ikiwa kuu! Nao uso wako uufunike, usiione nchi! Kwani nimekuweka kuwa kielekezo cha mlango wa Isiraeli.
7
Nikafanya hivyo, nilivyoagizwa: vyombo vyangu nikavitoa mchana, kama ni vyombo vya kuhama navyo, kisha nikajibomolea kwa mikono tundu bomani kwa mji, nikavitoa, giza ilipokuwa kuu, nikiviweka begani machoni pao.
8
Asubuhi neno la Bwana likanijia la kwamba:
9
Mwana wa mtu, wao wa mlango wa Isiraeli walio mlango mkatavu hawakukuuliza: Wewe unafanya nini?
10
Waambie: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Tamko hili zito ni la mkuu wa Yerusalemu, tena la mlango wote wa Isiraeli uliomo humu mjini.
11
Sema: Mimi ni kielekezo chenu; kama mimi nilivyofanya, ndivyo, nao watakavyofanyiziwa, watahamishwa kwenda kifungoni.
12
Naye mkuu aliomo mwao mjini atavichukua vyombo vyake begani, giza ikiwa kuu, akitoka katika tundu la bomani kwa mji, walilombomolea, wapate kumtoa hapohapo; uso wake utaufunika, kusudi asiione nchi kwa macho yake.
13
Nami nitamtegea wavu wangu, anaswe katika tanzi langu; kisha nitampeleka Babeli katika nchi ya Wakasidi, lakini hataiona; nako ndiko, atakakokufa.
14
Nao wote wamzungukao kuwa wasaidiaji wake nao wa vikosi vyake vyote nitawatupatupa pande zote za upepo, nazo panga nitazichomoa, ziwafuate nyuma.
15
Ndipo, watakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana, nitakapowatupatupa kwenye wamizimu na kuwatawanya katika nchi hizo.
16
Lakini nitasaza kwao wachache wanaohesabika, wasiuawe na panga, wala na njaa, wala na magonjwa mabaya, wapate kuyasimulia machukizo yao yote kwenye wamizimu, watakakopelekwa, nao wajue, ya kuwa mimi ni Bwana.
17
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
18
Mwana wa mtu, sharti ukile chakula chako kwa kutetemeka! Nayo maji yako sharti uyanywe kwa kustuka na kwa kuyahangaikia.
19
Kisha waambie watu wa nchi hii: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyowaambia wakaao Yerusalemu katika nchi ya Isiraeli: Vyakula vyenu mtavila na kuvihangaikia, nayo maji yenu mtayanywa kwa kupigwa na bumbuazi, kwani nchi yao itaangamia, yote yaliyojaa mle yakipotea kwa ajili ya ukorofi wao wote waliokaa huko.
20
Nayo miji inayokaa watu itabomolewa, nchi hii iwe peke yake tu; ndipo, mtakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana.
21
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
22
Mwana wa mtu, ni fumbo gani hili lililoko kwenu katika nchi ya Isiraeli la kusema: Siku hukawia, nayo maono yote hupotea?
23
Kwa hiyo waambie: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Nitalikomesha fumbo hilo, wasilitumie tena kwao Waisiraeli; kwa hiyo waambie: Siku hizo ziko karibu kweli, maono yote yatimie.
24
Kwani hakuna tena ono lo lote litakalokuwa la bure, wala ufumbuaji wa kupendeza watu tu kwao wa mlango wa Isiraeli.
25
Kwani mimi Bwana nitasema, nayo nitakayoyasema yatafanyizwa pasipo kukawia kabisa, kwani katika hizi siku zenu, mngalipo bado, ninyi mlio mlango mkatavu, nitasema neno, kisha nitalifanya! Ndivyo, asemavyo Bwana Mungu.
26
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
27
Mwana wa mtu, tazama, wao wa mlango wa Isiraeli husema: Ono, analoliona yeye, ni la siku nyingi, nayo maneno, anayoyasema yeye, wakati wao wa kutimia uko mbali.
28
Kwa hiyo waambie: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Maneno yangu yote yahatakawia tena; neno, nitakalolisema, litafanyizwa; ndivyo, asemavyo Bwana Mungu.
← Chapter 11
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 13 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48