bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 17
Ezekiel 17
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 18 →
1
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
2
Mwana wa mtu, utegee mlango wa Isiraeli kitendawili na kuuambia fumbo!
3
Sema: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Kulikuwako tai mkubwa mwenye mabawa makubwa na manyoya marefu mabawani ya kumwendesha, nayo mengi mno yalikuwa yenye rangi; huyo akaja Libanoni, akajichukulia kilele cha mwangati.
4
Chipuko lake la juu penyewe akalivunja, akalipeleka katika nchi yenye biashara, akalitia mjini, wachuuzi wakaamo.
5
Kisha akachukua nayo mbegu ya hiyo nchi, akaipanda shambani panapopandwa mbegu, kwenye maji mengi, iwe kijiti, akaitunza kama mbula.
6
Ikaota, ikawa mzabibu uliotambaa wenye kisiki kifupi, kwani matawi yake yalimgeukia mwenyewe, nayo mizizi yake ilikuwa chini yake yeye; ukawa mzabibu wa kweli, ukapata matawi yaliyochipuza majani mazuri.
7
Kukawa na tai mkubwa mwingine mwenye mabawa makubwa yenye manyoya mengi; mara ule mzabibu ukampindukia yeye, mizizi yake imtwetee kwa kumtamani, nayo matawi yake ukamwelekezea yeye, aunyweshe kuliko hayo matuta, ulikopandwa.
8
Nao ulikuwa umepandwa katika shamba zuri lenye maji mengi, uchipuke matawi yatakayoleta matunda, uwe mzabibu wenye utukufu.
9
Basi, sema: hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Je? Utafanikiwa? Yule hataing'oa mizizi yake na kuyakata matunda yake, ukauke? Kweli majani yote ya machipuko yake yatakauka; hautatakiwa mkono wenye nguvu wala watu wengi wa kuung'oa kwenye mizizi yake.
10
Kweli ulikuwa umepandwa, lakini utafanikiwa? Hautakauka kabisa, upepo utokao upande wa maawioni kwa jua utakapouvumia? Utakauka kweli hapo hapo matutani, ulikochipukia.
11
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
12
Uambie mlango huu mkatavu: Je? Hamwijui maana yake hayo? Sema: Mwemwona mfalme wa Babeli, akija Yerusalemu, akimchukua mfalme wake na wakuu wake na kuwapeleka kwake Babeli.
13
Kisha alichukua mmoja wa kizazi cha kifalme, akafanya naye agano na kumwapisha. Lakini wenye nguvu wa nchi hii akawachukua,
14
ufalme ukae chini tu, usijikweze, usimamike tu kwa kulishika agano lake.
15
Kisha huyo akakataa kumtii, akatuma wajumbe kwenda Misri, wampe farasi na watu wengi. Aliyeyafanya hayo atawezaje kufanikiwa na kujiokoa? Kwa kulivunja agano ataponaje?
16
Ndivyo, asemavyo Bwana Mungu: Hivyo, nilivyo Mwenye uzima, kweli atakufa mle Babeli, mle mjini, mfalme akaamo aliyempa ufalme, kwa kuwa alikibeza kiapo chake na kulivunja agano lake.
17
Naye Farao hataleta vikosi vikubwa vyenye watu wengi amfalie kitu vitani, watakapomzungushia ukingo wa mchanga na kujenga minara, kusudi waangamize watu wengi na kuwaua.
18
Kwa kuwa alikibeua kiapo na kulivunja agano, aliloliinulia mkono, kwa hiyo ataona: kwa kuyafanya hayo yote hataokoka.
19
Kwa sababu hii ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Hivyo, nilivyo Mwenye uzima, kiapo changu alichokibeua, na agano langu, alilolivunja, nitamtwika kichwani.
20
Nami nitamtegea wavu wangu, anaswe katika tanzi langu kisha nitampeleka Babeli; ndiko, nitakakomkatia shauri kwa kuyavunja maagano yangu.
21
Nao watoro wake wote katika vikosi vyake vyote wataangushwa kwa panga, nao watakaosalia watatawanywa pande zote za upepo. Ndipo, mtakapojua, ya kuwa mimi Bwana nimesema.
22
Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Mimi nitachukua tawi la kilele cha mwangati mrefu, nilipande; pake juu penyewe katika mlima mrefu ulioinuka sana.
23
Katika huo mlima mrefu wa Isiraeli nitalipanda, lichupuke matawi yatakayozaa mbegu, nalo litakuwa mwangati wenye utukufu; chini yake watakaa ndege wa kila namna wenye manyoya mbalimbali, chini kivulini mwa matawi yake watajenga matundu yao.
24
Ndipo, miti yote ya shambani itakapojua, ya kuwa mimi Bwana hunyenyekeza mti mrefu, tena hukuza mti mfupi, ya kuwa mimi hukausha mti mbichi, tena huchipuza mti mkavu. Mimi Bwana niliyeyasema nitayafanya.
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 18 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48