bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 35
Ezekiel 35
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 36 →
1
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
2
Mwana wa mtu, ielekezee milima ya Seiri uso wako na kuifumbulia yatakayokuwa!
3
Iambie: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Utaniona, nikikujia, mlima wa Seiri; nitakukunjulia mkono wangu, nikugeuze kuwa mapori yaliyo peke yao!
4
Miji yako nitaivunja, iwe mabomoko tu, nawe utakuwa mapori tu; ndipo, utakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana.
5
Kwa kuwa umeshika uchukivu wa kale na kale, ukawabwaga wana wa Isiraeli kwenye panga siku zile, waliposhindwa, ni siku zile, walipolipishwa manza zao, walizozikora.
6
Kwa hiyo Bwana Mungu anasema: Hivyo, nilivyo Mwenye uzima, nitaimwaga damu yako, nazo damu zitakukimbiza; kwa kuwa hukuchukiwa na kumwaga damu, damu zitakukimbiza.
7
Nitaigeuza milima ya Seiri kuwa mapori yaliyo peke yao, nikitowesha kwao wapitaji wanaokwenda na kurudi.
8
Milima yao nitaijaza mizoga yao waliouawa, katika vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo lyako yote wataanguka waliouawa na panga.
9
Nitakugeuza kuwa mapori ya kale na kale, miji yako isikae watu tena; ndipo, mtakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana.
10
Kwa kuwa ulisema: Hayo mataifa mawili nazo nchi zao mbili zitakuwa zangu, tuzichukue! naye Bwama alikuwa yupo;
11
kwa hiyo Bwana anasema: Hivyo, nilivyo Mwenye uzima, nitakufanyizia yayo hayo, uliyoyataka kuyafanya kwa makali yako na kwa wivu wako, uliyoyatenda kwa hivyo ulivyowachukia; ndipo, nitakapojulikana kwao, nitakapokuwa nimekwisha kukuhukumu.
12
Ndipo, utakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana. Nimeyasikia maapizo yako yote, uliyoyasema na kuiapiza milima ya Isiraeli kwamba: Na iwe mapori, tupewe sisi kuila!
13
Ndivyo, mlivyovikuza vinywa vyenu mbele yangu, nayo maneno yenu, mliyoyasema mbele yangu, yakawa ya majivuno tu; mimi nimeyasikia.
14
Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Nchi yote nzima itafurahi, nitakapokugeuza kuwa mapori tu.
15
Kama wewe ulivyofurahi, fungu lao walio mlango wa Isiraeli lilipogeuzwa kuwa mapori, hivyo ndivyo, nitakavyokufanyzia: utakuwa mapori tu, mlima wa Seiri, pamoja na nchi yote nzima ya Edomu; ndipo, mtakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana.
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 36 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48