bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 6
Ezekiel 6
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 5
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 7 →
1
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
2
Mwana wa mtu, ielekezee milima ya Isiraeli uso wako, uifumbulie yatakayokuwa!
3
Useme: Milima ya Isiraeli, lisikieni neno la Bwana Mungu! Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema, mvisikie ninyi milima na vilima na vijito na mabonde: Mtaniona, nikileta panga kwenu, niyakomeshe matambiko yenu ya vilimani.
4
Ndipo, penu pa kutambikia patakapokuwa peke yao, navyo vinyago vyenu vya jua vitavunjwa, nao wenzenu watakaopigwa na panga nitawatupa mbele ya magogo, mnayoyatambikia.
5
Kweli mizoga ya wana wa Isiraeli nitaikusanya mbele ya magogo, waliyoyatambikia, nayo mifupa yenu nitaitupatupa pande zote palipo penu pa kutambikia.
6
Pote mnapokaa miji yenu itabomoliewa, navyo vilima, mlikotambikia, vitakuwa peke yao, kusudi penu pa kutambikia pabomolewe, pawe peke yao, nayo magogo, mliyoyatambikia, yavunjwe na kukomeshwa, hata vinyago vyenu vya jua vikatwekatwe, kazi zenu zifutwe.
7
Nao watakaouawa wataanguka katikati yenu; ndipo, mtakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana.
8
Lakini wako wa kwenu, nitakaowasaza, wakipona panga, wakae kwa wamizimu katika zile nchi, mtakakotupwatupwa.
9
Hao wenzenu watakaopona watanikumbuka huko kwa wamizimu, watakakohamishwa kwa kutekwa, kwani nitaivunja mioyo yao yenye ugoni iliyoondoka kwangu, hata macho yao nitayavunja yaliyoyatazama na kuyatamani magogo yao ya kutambikia. Ndiko, watakakojichukia machoni pao wenyewe kwa ajili ya mabaya, waliyoyafanya na kuyatumia yale matapisho yao yote.
10
Ndipo, watakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana, sikusema bure, ya kuwa nitawafanyizia hayo mabaya.
11
Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Yapige makofi yako na kupiga shindo kwa miguu yako! Kaulilie mlango wa Isiraeli kwa ajili ya matapisho mabaya yote, kwa kuwa watauawa kwa panga na kwa njaa na kwa magonjwa mabaya.
12
Alioko mbali atakufa kwa ugonjwa mbaya, alioko karibu atakufa kwa upanga, aliyesalia kwa kufungiwa mjini atakufa kwa njaa. Hivyo nitawatimilizia makali yangu yenye moto.
13
Ndipo, mtakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana, mizoga yao waliouawa itakapochanganyika na magogo, waliyoyatambikia po pote pa kutambikia pao: pote vilimani juu nako vileleni juu kwenye milima mikubwa yote, hata chini ya miti yote yenye majani mengi na chini ya mivule yote iliyo minene, walipoyavukizia magogo yao yote manukato ya kupendeza.
14
Nitawakunjulia mkono wangu, nchi hii niigeuze kuwa mapori yaliyo peke yao kuanzia kwenye nyika kufikisha kwenye Dibula po pote, wanapokaa; ndipo, watakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana.
← Chapter 5
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 7 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48