bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 9
Ezekiel 9
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 8
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 10 →
1
Akaita kwa sauti kuu masikioni mwangu kwamba: Mapatilizo ya mji huu yamekaribia; kila mtu na ashike mkononi mwake chombo chake cha kuangamizia!
2
Nikaona watu sita, waliotokea katika njia ya lango la juu lililoelekea kaskazini, kila mtu alikuwa ameshika mkononi mwake chombo chake cha kupondea; lakini mtu mmoja aliyekuwa katikati yao alikuwa amevaa vazi la ukonge, napo kiunoni pake alikuwa na kichupa cha wino cha mwandishi, wakaja, wakasimama kando ya meza ya shaba ya kutambikia.
3
Ndipo, utukufu wa Mungu wa Isiraeli ulipoondoka kwenye Kerubi, ulikokuwa, ukaja kwenye kizingiti cha mlango wa hiyo nyumba, akamgutia yule mtu aliyevaa vazi la ukonge, aliyekuwa na kichupa cha wino cha mwandishi kiunoni pake.
4
Bwana akamwambia: Pitia humu mjini katikati, humu Yerusalemu katikati, uwaandike kichoro mapajini wale watu wapigao kite na kuyaugulia hayo machukizo yote yafanyikayo humu mjini!
5
Wale wengine akawaambia masikioni pangu: Piteni humu mjini nyuma yake, kapigeni! Macho yenu yasiwaonee uchungu, wala msiwahurumie!
6
Wazee, wasichana, wavulana, watoto, wanawake, waueni wote pia, waangamie! Lakini kila mtu mwenye kichoro msimguse kabisa! Anzieni hapa Patakatiu pangu! Wakawanzia wale wazee waliokuwa mbele ya hiyo Nyumba.
7
Kisha akawwambia: itieni Nyumba hii uchafu, nkizijaza nyua zake mizoga yao waliouawa! Kisha tokeni! Basi, wakatoka humo, wakawapiga mjini namo.
8
Ikawa walipokwenda kuwapiga watu vivyo, hivyo, mimi nikasalia hapo peke yangu; ndipo, nilipoanguka kifudifudi, nikalia nikisema: E Bwana Mungu, wewe utayaangamiza masao yote ya Isiraeli, ukiumwagia Yerusalemu makali yako yenye moto?
9
Akaniambia: Manza za mlango wa Isiraeli na wa Yuda ni kubwa sanasana, nchi hii imeenezwa damu, walizozimwaga, mji huu nao ikajaa mapotovu, kwani husema: Bwana ameondoka katika nchi hii, hakuna Bwana anayeyaona.
10
Basi, mimi nami jicho langu halitawaonea uchungu, wala mimi sitawahurumia, nitawapatilizia njia zao vichwani pao.
11
Kisha nikamwona yule mtu aliyevaa nguo ya ukonge aliyekuwa na kichupa cha wino kiunoni pake, akileta majibu kwamba: Nimefanya, kama ulivyoniagiza.
← Chapter 8
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 10 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48