bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 15
Ezekiel 15
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 14
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 16 →
1
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
2
Mwana wa mtu, mti wa mzabibu unaipita miti yote kwa nini? Au liko, tawi lake linalolipata likikaa kwenye miti ya mwituni?
3
Je? Huchukuliwa mti wake wa kutumiwa kwa kazi yo yote? Au watu huuchukua, wautumie kuwa mambo tu ya kutungikia vyombo vyao?
4
Mtauona, nikiutoa kuwa kuni za moto; moto ukiisha kuzila pande zake mbili za mwisho, nacho kipande cha katikati kikiungua, Je? Iko kazi, utakayotumikia?
5
Tazameni! Ungaliko mzima bado hautumiwi kwa kazi yo yote; sembuse moto ukiisha kuula na kuunguza, hautatumiwa kabisa kwa kazi yo yote.
6
Kweli hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Kama mti wa mzabibu ulioko kwenye miti ya mwituni nilivyoutoa kuwa kuni za moto tu, ndivyo, nitakavyowatoa wakaao Yerusalemu.
7
Nitawakazia macho yangu: ijapo wametoka motoni, moto ndio utakaowala; ndipo, watakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana, nitakapowakazia macho yangu.
8
Nayo nchi hii nitaigeuza kuwa peke yake tu, kwa kuwa wamevunja maagano; ndivyo, asemavyo Bwana Mungu.
← Chapter 14
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 16 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48