bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 19
Ezekiel 19
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 20 →
1
Basi, tunga ombolezo la kumwombolezea mkuu wa Isiraeli!
2
Sema: Mama yako alikuwa nani? Simba mke! Alilala kwenye masimba, kwenye wana wa simba katikati aliwakuza wanawe.
3
Hao wanawe mmoja wao, alipokwisha kumlea, akawa kijana wa simba, akajifunza kunyafua nyama, aliowakamata, akala nao watu.
4
Wamizimu walipoyasikia, walimchimbia mwina, akanaswa humo, wakamtia pete puani, wakampeleka katika nchi ya Misri.
5
Mama yake alipoona, ya kuwa alimngojea bure, kingojeo chake kikapotea; kisha akachukua mwingine katika wanawe, akamtunza, awe kijana wa simba.
6
Akajiendea kwenye masimba kati, akawa kijana wa simba, akajifunza kunyafua nyama aliowakamata, akala nao watu.
7
Akayajua majumba yao, akaiangamiza miji yao, nchi akaigeuza kuwa peke yake tu, waliojaa huko wakitoweka kwa kuziogopa sauti za ngurumo zake.
8
Ndipo, wamizimu walipotoka katika nchi zao, wakajipanga na kumzunguka, wakamtegea nyavu zao, wakamchimbia nao mwina, akanaswa humo.
9
Kisha wakamtia pete puani, wakamtia katika tundu kubwa, wakampeleka kwa mfalme wa Babeli, wakampeleka kweli, mpaka wakamweka bomani, kusudi sauti zake zisisikilike tena katika miji ya Isiraeli.
10
Mama yako alikuwa kama mzabibu shambani kwa mizabibu yako uliopandwa penye maji, ukazaa matunda, ukawa na matawi mengi, kwani ulikuwa penye maji mengi.
11
Ukapata hata fimbo zenye nguvu zilizofaa kuwa bakora za watawala nchi, ukawa mrefu kwa kimo chake, ukayapita majani ya miti iliyoko, ukaonekana mbali kwa urefu wake na kwa wingi wa matawi yake.
12
Kisha ukang'olewa kwa makali yenye moto, ukatupwa chini, upepo uliotoka maawioni kwa jua ukayanyausha matunda yake, matawi yake yenye nguvu yakavunjwa, yakakauka, kisha moto ukayala.
13
Kisha ukapandwa nyikani katika nchi kavu yenye kiu.
14
Moto ukatoka katika zile fimbo za matawi yake, ukayala matunda yake, haikuwako tena kwake fimbo yenye nguvu iliyofaa kuwa bakora ya mtawala nchi. Hili ndilo ombolezo litakalokuwa ombolezo kweli.
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 20 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48