bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 4
Ezekiel 4
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 5 →
1
Wewe mwana wa mtu jipatie tofali, uliweke mbele yako! Kisha chora humo mji wa Yerusalemu!
2
Kisha uuzungushie boma! Hilo boma ulijengee minara, ulizungushie hata ukingo wa mchanga! Tena uupigie po pote makambi ya askari, uweke nayo magogo ya kuvunjia boma!
3
Kisha jipatie bati la chuma, kalisimamishe kuwa ukuta wa chuma wa kukutenga wewe nao mji! Kisha uuelekezee uso wako, kwamba uwe ukisongwa, nawe uwe mwenye kuusonga! Hiki ndicho kielekezo, mlango wa Isiraeli utakachokipata.
4
Tena wewe ulalie ubavu wako wa kushoto, ukiisha ziweke manza za mlango wa Isiraeli juu yake; siku, utakazoulalia, zitahesabiwa kuwa siku za kuzichukua manza zao.
5
Nami nitakupa miaka ya manza zao kuwa hesabu ya hizo siku, zitakuwa 390; ndizo, utakazozichukua manza za mlango wa Isiraeli.
6
Utakapozimaliza hizo siku, uulalie ubavu wako wa kuume mara ya pili, uzichukue manza za mlango wa Yuda siku 40; kwa kila mwaka mmoja nimekupa siku moja.
7
Tena uso wako utauelekezea Yerualemu uliosongwa, hata mkono wako, ukiisha kuuondoa nguo. Kisha sharti uufumbulie huo mji yatakayokuwa.
8
Tena utaniona nikikufunga kwa kamba, usiweze kugeuka na kuulalia ubavu wa pili, mpaka uzimalize siku za kusongwa kwako.
9
Tena jipatie ngano na mawele na maharagwe na choroko na mtama mweupe na mwekundu, uzitie zote katika chombo kimoja! Ndizo ujitengenezee mikate, kama hesabu ilivyo ya siku, utakazoulalia ubavu wako; siku 390 utaila hio mikate.
10
Hicho chakula chako, utakachokila, utapimiwa kwa mizani kila siku ratli moja kaso robo muda kwa muda.
11
Maji nayo utakunywa kwa kupimiwa, nusu kibaba kila siku moja, nayo utayanywa muda kwa muda.
12
Hiyo mikate utaila, ikitengenezwa kama mikate ya mofa ya mawele, nawe sharti uichome kwa mavi ya choo cha mtu machoni pao.
13
Bwana akasema: Kwenye mataifa, nitakakowatupa, wana wa Isiraeli, watavila vyakula vyao, vikiwa vichafu vivyo hivyo.
14
Nikasema: E Bwana Mungu, tazama, roho yangu haijatiwa uchafu; tangu hapo, nilipokuwa mtoto, mpaka sasa sijala kibudu wala makombo ya nyama wa porini, wala yenye uvundo hayajaingia kinywani mwangu.
15
Akaniambia: Tazama, nimekupa mavi ya ng'ombe penye mavi ya mtu, ndiyo utumie ya kuchomea mikate yako.
16
Akaniambia: Mwana wa mtu, utaniona, nikilivunja shikizo la chakula mle Yerusalemu, wale vyakula vyao kwa kupimiwa na mizani na kwa kuvihangaikia; nayo maji watakunywa kwa kupimiwa na kwa kupigwa na bumbuazi,
17
kwani watakosa vyakula na maji, wapigwe na bumbuazi wote pamoja, wakitoweshwa kwa ajili ya manza zao walizozikora.
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 5 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48