bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 14
Ezekiel 14
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 13
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 15 →
1
Wakaja kwangu waume wazee wa Kiisiraeli, wakakaa mbele yangu.
2
Ndipo, neno la Bwana liliponijia la kwamba:
3
Mwana wa mtu, watu hawa wameyatia magogo yao ya kutambikia mioyoni mwao, wakayaweka mbele ya nyuso zao kuwa kwazo la kuwakosesha; sasa je? Niwaitikie nikitafutwa nao?
4
Kwa hiyo sema nao na kuwaambia: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Mtu ye yote wa mlango wa Isiraeli atakayeyatia magogo yake ya kutambikia moyoni mwake na kuyaweka mbele ya uso wake kuwa kwazo la kumkosesha, kisha akija kwa mfumbuaji, basi, mimi Bwana nitamjibu yayapasayo magogo yake mengi ya kutambikia,
5
kusudi niipate mioyo yao walio mlango wa Isiraeli waliotawanyika wote na kuniacha kwa ajili ya magogo yao ya kutambikia.
6
Kwa hiyo waambie walio mlango wa Isiraeli: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Rudini! Jigeuzeni na kuyaacha magogo yenu ya kutambikia! Zigeuzeni nyuso zenu na kuyaacha machukizo yenu yote!
7
Kwani mtu ye yote wa mlango wa Isiraeli, nao walio wageni wakikaa kwa Waisiraeli, wote pia wametawanyika wakiacha kunifuata; hao wakiyatia magogo yao ya kutambikia mioyoni mwao na kuyaweka mbele ya nyuso zao kuwa kwazo la kuwakosesha, kisha wakija kwa mfumbuaji, aniulize kwa ajili yao, basi, mimi Bwana nitawajibu mwenyewe.
8
Mtu aliye hivyo nitamkazia macho yangu, nitamwangamiza vibaya, awe kielekezo na fumbofumbo, nikimtowesha kwao walio ukoo wangu; ndipo, mtakapojua, ya kuwa mimi ni Bwana.
9
Kama yuko mfumbuaji aliyeshindwa naye, akamwambia mtu aliye hivyo neno lo lote, mimi Bwana nimemshinda huyo mfumbuaji, tena nitamkunjulia mkono wangu, nimtoweshe kwao walio ukoo wangu wa Isiraeli.
10
Hivyo watatwikwa manza zao walizozikora: manza zake aliyeuliza zitakuwa sawasawa na manza zake mfumbuaji yule.
11
Kusudi walio mlango wangu wa Isiraeli wasipotee tena wakiacha kunifuata na kujipatia uchafu tena kwa mapotovu yao yote, wapate kuwa ukoo wangu, nami nipate kuwa Mungu wao; ndivyo, asemavyo Bwana Mungu.
12
Neno la Bwana likanijia la kwamba:
13
Mwana wa mtu, nchi ikinikosea na kuvunja maagano, nitaikunjulia mkono wangu, nilivunje shikizo lao la chakula na kuipelekea njaa, nimalize huko watu na nyama.
14
Lakini kama wangekuwako katika ile nchi watu hawa watatu: Noa na Danieli na Iyobu, hawa wangejiponya kwa wongofu wao; ndivyo, asemavyo Bwana Mungu.
15
Kama ningeleta nyama wabaya, watembee katika ile nchi na kuwamaliza watu walioko, iwe peke yake, asipite mtu kwa ajili ya wale nyama,
16
basi, kama wangekuwako katika ile nchi hao watu watatu: hivyo, nilivyo Mwenye uzima, ndivyo, Bwana Mungu asemavyo, nao hawataponya wana wa kiume wala wa kike, ila wangepona wao wenyewe tu, hiyo nchi iwe peke yake.
17
Au kama ningeiletea ile nchi panga nikisema: Panga na zitembee katika nchi hii, nitoweshe kwake watu na nyama,
18
kama wangekuwako katika ile nchi hao watu watatu: hivyo, nilivyo Mwenye uzima, ndivyo, Bwana Mungu asemavyo, hawataponya wana wa kiume waka wa kike, ila wangepona wao wenyewe tu.
19
Au kama ningeipelekea ile nchi magonjwa mabaya, akiimwagia makali yangu yenye moto pamoja na kumwaga damu, nitoweshe kwake watu na nyama,
20
kama wangekuwako katika ile nchi Noa na Danieli na Iyobu: hivyo, nilivyo Mwenye uzima, ndivyo, asemavyo Bwna Mungu, hawataponya mwana wa kiume wala wa kike, ila wengepona wao wenyewe tu kwa wongofu wao.
21
Kwani hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Ingawa niupelekee Yerusalemu haya mapatilizo yangu manne yaliyo mabaya: panga na njaa na nyama wabaya na magonjwa mabaya, nitoweshe mwake watu na nyama,
22
mtaona, wakisazwa mwake waliopona watakaohamishwa wa kiume na wa kike, hao mtawaona wakitokea kwenu, mzitazama njia zao na matendo yao; ndipo, mtakapoituliza mioyo yenu kwa ajili ya mabaya, niliyouletea Yerusalemu, na kwa ajili yao yote, niliyouletea.
23
Wataituliza mioyo yenu, mtakapozitazama njia zao na matendo yao; ndipo, mtakapojua, ya kuwa sikuyafanya bure tu hayo yote, niliyoufanyia; ndivyo, asemavyo Bwana Mungu.
← Chapter 13
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 15 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48