bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 5
Ezekiel 5
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 6 →
1
Nawe mwana wa mtu, jipatie upanga mkali, uutumie kuwa wembe wa kinyozi wa kunyolea kichwa chako na udevu wako! Kisha jipatie mizani, uzigawanye hizo nywele!
2
Fungu la tatu uliteketeze kwa moto mjini katikati, siku za kusongwa zitakapomalizika! Fungu la tatu jingine lichukue, ulitapanye na kupigapiga kwa upanga ukizunguka mjini po pote! Nalo fungu la tatu jingine utalitupatupa kwenye upepo, nami nitauchomoa upanga, uzifuata nyuma.
3
Nawe hizo nywele zichukue chache tu, uzifungue pembeni katika vazi lako!
4
Namo uchukue tena kidogo, uzitupe penye ule moto unaowaka mjini katikati, uziteketeze mle motoni! Ndimo, utakamotoka moto wa kuula mlango wote wa Isiraeli.
5
Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Huu ndio Yerusalemu! Nimeuweka kwenye wamizimu katikati, ukazungukwa na nchi zao.
6
Lakini kwa kuwa haukunicha, uliyakataa mashauri yangu kuliko hao wamizimu, ukayakataa nayo maongozi yangu kuliko hizo nchi ziuzungukazo, kwani mashauri yangu wakayabeua, hawakuyafuata maongozi yangu.
7
Kwa sababu hii Bwana Mungu anasema hivi: Kwa kuwa mnafanya matata kuliko wamizimu wanaowazunguka, msipoyafuata maongozi yangu, wala msipoyafanya mashauri yangu, wala msipoyafanya maamuzi yangu, wamizimu wawazungukao wanayoyafanya,
8
kwa hiyo Bwana Mungu anasema hivi: Utaniona, mimi nami nikikujia, nifanye katikati yako mashauri machoni pa wamizimu.
9
Nitakufanyizia mambo, nisiyoyafanya bado, wala sitayafanya mara nyingine yaliyo hivyo kwa ajili ya machukizo yako yote.
10
Nayo ni haya: katikati yako baba watakula wana, nao wana watakula baba zao! Haya ndiyo mashauri, nitakayokufanyizia, kisha masao yako nitayatupiatupia pande zote za upepo.
11
Kweli ndivyo, asemavyo Bwana Mungu: Hivyo nilivyo Mwenye uzima, kwa kuwa umepachafua Patakatifu pangu kwa matapisho yako yote na kwa machukizo yako yote, kwa hiyo mimi nami nitaliondoa jicho langu, lisikuonee uchungu, nami mwenyewe sitakuhurumia.
12
Fungu lako la tatu watakufa kwa magonjwa mabaya wakizimia kwa njaa katikati yako, fungu la tatu jingine watauawa kwa panga kwenye pande zako zote; fungu la tatu jingine nitawatupiatupia pande zote za upepo, kisha nitauchomoa upanga, uwafuate.
13
Hivyo makali yangu yatakwisha, hivyo nitayapoza machafuko yangu yenye moto kwao nikiwalipisha. Ndipo, watakapotambua, ya kuwa mimi Bwana nimesema kwa wivu wangu, nikawatimilizia machafuko yangu yenye moto.
14
Kisha nitakugeuza kuwa mabomoko ya kuzomelewa kwa wamizimu wote wakuzungukao, kila atakayepapita ayaone.
15
Hivyo itakuwa, uwe wa kuzomelewa na wa kufyozwa, tena uwe kitisho cha kuwashangaza wamizimu wakuzungukao, nitakapokufanyizia mashauri na kukutolea makali na machafuko yenye moto na mapigo yenye moto. Mimi Bwana nimeyasema.
16
Ndipo, nitakapowapigia mishale mibaya ya njaa ya kuangamiza; hiyo ndiyo, nitakayoipiga kweli, iwaangamize ninyi, nitakapoizidisha njaa na kulivunja kabis shikizo lenu la chakula.
17
Pamoja na hiyo njaa nitawapelekea nyama wabaya, wawaue watoto wako, nayo magonjwa mabaya ya kuozesha damu yatapita kwako, kisha nitaleta nazo panga na kukuua. Mimi Bwana nimeyasema.
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 6 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48