bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 13
Genesis 13
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 12
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 14 →
1
Ndipo, Aburamu alipotoka Misri kwenda kwao upande wa kusini, yeye na mkewe nao wote, aliokuwa nao, hata Loti alikuwa naye.
2
Naye Aburamu alikuwa mwenye mali nyingi sana za makundi na za fedha na za dhahabu.
3
Akaendelea kusafiri hapohapo upande wa kusini mpaka kufika Beteli mahali pale, hema lake lilipokuwa kwanza katikati ya Beteli na Ai;
4
ndipo hapo, Aburamu alipojenga pa kwanza pa kumtambikia Bwana na kulitambikia Jina lake.
5
Lakini Loti naye aliyesafiri pamoja na Aburamu alikuwa mwenye mbuzi na kondoo na ng'ombe na mahema.
6
Kwa hiyo haikuwezekana, wakae pamoja katika nchi ile, kwa kuwa mapato yao yalikuwa mengi, kweli hawakuweza kukaa pamoja.
7
Kwa hiyo wachunga makundi ya Aburamu waligombana nao wachunga makundi ya Loti, kwani Wakanaani na Waperizi nao walikaa siku zile katika nchi hiyo.
8
Ndipo, Aburamu alipomwambia Loti: Tusigombane mimi na wewe, wala wachungaji wangu na wachungaji wako! Kwani sisi tu ndugu.
9
Huoni nchi yote iliyoko mbele yako? Na tutengane! Ukitaka kushotoni, nitakwenda kuumeni; ukitaka kuumeni, nitakwenda kushotoni.
10
Loti akayainua macho yake, akaliona bonde zima la Yordani, ya kuwa lote lilikuwa lenye maji mengi kufika hata Soari; Bwana alipokuwa hajaiangamiza bado Sodomu na Gomora, lilikuwa kama shamba la Mungu, kama Misri.
11
Kwa hiyo Loti akajichagulia hilo bonde zima la Yordani, kisha Loti akaondoka kwenda huo upande wa maawioni kwa jua. Hivyo ndivyo, hao ndugu walivyotengana.
12
Aburamu akakaa katika nchi ya Kanaani, naye Loti akakaa katika miji ya hilo bonde, akaenda kuyapiga mahema yake mpaka Sodomu.
13
Lakini watu wa Sodomu walikuwa wabaya, wakamkosea Bwana sana.
14
Aburamu alipokwisha kutengana na Loti, Bwana akamwambia: Yainue macho yako, utazame toka mahali hapa, unapokaa, upande wa kaskazini na wa kusini na wa maawioni kwa jua na wa baharini!
15
Nchi hizi zote, unazoziona, nitakupa wewe nao wa uzao wako kuwa zenu kale na kale.
16
Nao wazao wako nitawafanya kuwa wengi kama mavumbi ya nchi. Kama mtu anaweza kuyahesabu mavumbi ya nchi, wa uzao wako nao watahesabika.
17
Inuka, utembee katika nchi hii kuuona urefu wake na upana wake! Kwani ndiyo, nitakayokupa wewe.
18
Kisha Aburamu akayafunga mahema, akaenda kukaa katika kimwitu cha Mamure kilichokuwa karibu ya Heburoni, akajenga huko pa kumtambikia Bwana.
← Chapter 12
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 14 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50